Recent content by Mrembo wa Lushoto

  1. M

    Diamond na Zari kwenye muonekano mwingine

    Yani mngekuwa mnagawa riziki nyieee..... Diamond asingeambulia kitu. Namtakatwa sana tu hakuna namna!!!! kumuita mtoto wa mwenzio Domo??? haya tukuulize kisa Nn??? mwanaume mzima unayejiita dume, huna undugu na Diamond huo ushauri wako ungeupeleka kwa Dada zako naona ingesaidia.
  2. M

    Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

    kwa kigezo gani hadi kuwa kwwnye hiyo tuzo??? bora wangemuweka hata Rich Mavoko
  3. M

    Wanawake mmekuwa maskini wa nywele sasa

    hahahahahahahahahaaaa yani imebidi nicheke japo nilikuwa nimenuna. u made my day.. du!
  4. M

    Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

    Diamond anawalaza watu macho du!!
  5. M

    Mombo-Lushoto Pics

    kiangwi
  6. M

    Mombo-Lushoto Pics

    wasambaa nao wamo Jf kweli dunia imekuwa kijiji
  7. M

    Picha: Majambazi waliokamtwa leo

    huyo mrefu kuliko wenzake mhandsome...lazima ukiambiwa anaenda kuharibiwaa!!
  8. M

    Lulu (Elizabeth Michael) awaogopa Wachawi kumtaja aliyemtundika Ujauzito wake

    mtoto asione kichaka anataka kunyaaa!! aendelee kuiba atakuja kutembea uchi Kariakoo. me naona wanamchelewesha huyu mtoto, wamnyweshe dawa.
  9. M

    Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

    tushaazoea kukojoa popote
  10. M

    Mabinti wadogo kutoka na watu wazima (VIBABU)

    yani full kujiachia, hawachoshi akimaliza amemaliza, vijana pesa hawana stress juu!!
  11. M

    Harusi ya Mengi na K-Lyn

    wanachungulia wanasepaaa ...... ngoja nijitafutie langu mie.
  12. M

    Je, ni sahihi Mwanajeshi na Polisi kutolipa nauli?

    hivi wanakataa kulipa au huwa makonda wanaogopa kuwadai!
Back
Top Bottom