Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,155
- 822
usoto kwatamaa!! full utalii.
Nashangaa watu wanasema eti kitonga balaa ebu wanyalu watembelee pande izi.Waume nzeze?
Mkuu mkuzi pazuri sana haswa peasi zake.
Mkuu inaonyesha ndio kwanza unafika Lushoto. Kule barabarani ukifanya ubishi wa kupishana unajikuta uko ndani ya gema na kama ukipona basi ujue una bahati. Na hii ndio sababu busara na hekima hutumika.
Nadhani wanasema tu, hii barabara ni nouma. Halafu ukute mtu anapanda na Basi kubwa as if yuko kwa Boda boda, lazima utapikeNashangaa watu wanasema eti kitonga balaa ebu wanyalu watembelee pande izi.Waume nzeze?
bumbui kaya