Wadau nataka kununua gari. Katika pitapita zangu nimekutana na hili na nimesoma hayo maelezo nimeyapenda hasa kwenye ulaji wa mafuta....
Je, naweza kuipata kwa shilingi ngapi mpaka mkononi kama nitaagiza Japan? (Bajeti yangu inakomea 13-14 mil) itawezekana au niamke kutoka ndotoni?
Khs spare...
Nimeona unamsifia sana mkulima. Anacheza kwenye website gani? Nahitaji kucheza naye. Na anacheza ipi? American pool rules ambayo huku mnajua French au Tanzania rules ambayo mnaita British. Nipo mkoani kikazi. Sina ratiba ya kuja Dar karibuni. Alipatikana bingwa yeyote mitandaoni mniambie.
Nimeona unamsifia sana mkulima. Anacheza kwenye website gani? Nahitaji kucheza naye. Na anacheza ipi? American pool rules ambayo huku mnaita French au Tanzania rules ambayo mnaita British.
Nimeona mnamsifia sana mkulima. Anacheza kwenye website gani? Nahitaji kucheza naye. Na anacheza ipi? American pool rules ambayo huku mnaita French au Tanzania rules ambayo mnaita British. Nahitaji kukutanishwa naye online.
Wadau naomba kueleweshwa. Nina mpango was kukuza mtaji ili nikistaafu nibaki na chochote maana hizi stori za kikokotoo kipya sizielewi. Nikijibana bana ninaweza kuweka laki 3 mpaka 4 Kwa mwezi Kwa sasa. Endapo mambo yatakuwa mazuri nitaongeza kulingana na kipato Cha wakati huo. Mpango wangu ni...
Hapo 2020 nilipokuta notification 48 kulikuwa na visa 42 na wajinga 06 waliojibizana ujinga. Mwaka huu nakuta notification 48, visa 04 matahira 41 yamegeuza eneo la kuchat na wafanyakazi waliokosa ajira wa angaza 03 wanaulizia kuhusu kutumika kwa kondom.
Usiibiwe hela ndugu. Hakuna kitu kama hicho. Hata mm nimejaribu kutumia mbinu mbali mbali na angalia hizo picha za kushinda. Ila nilipokwama baada ya muda utafikiri naanza kucheza na mtuaana inachelewa kutoa matokeo. Na inaleta lost. Kwa hiyo kule nao wamejipanga. Angalia baadhi ya picha...
Usimfuate utaibiwa. Hiyo photoshop imefanya kazi. Ukitaka kuamini mwambie afungue majina ya timu tu bila kuonyesha hizo correct score. Akikubali njoo uniambie.
Website ninazotumia ni nyingi. Inabidi u surf kweli kweli. Nitazitaja baadhi ninazotumia mara nyingi.
1. Windrawwin
2. Footballreport
3. Mathematical football
4. Footystats
Hawa wote wakifanana analysis basi hiyo game nastake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.