Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,699
Huyu jamaa hajulikani ni nani haswa, ana copy/kete zisizojulikana na finishing kali sana anafunga nazo watu, Ronaldo pale manyanya alisema mkulima anatumia dalmax ya kulipia ya tshs laki 3, hiyo software inauzwa wapi Google play?Mbona nlitafta sijaiona?
Mwenye account ya mkulima nasikia anaitwa amani sanga, draft kubwa alijulia wapi? wakati hajawahi shiriki mashindano ya kitaifa ya draft?
Kwenye chat, mkulima anawajua kina dogo ally, Shabaan Katoto, etc, wengine wanasema mkulima ni mzee mmoja wa ilala alikuwa ni bingwa wa draft zamani kidogo, sasa kama ni ivyo mbona anacheza copy zisizojulikana?
Mkulima anawafunga sisco na Ronaldo ambao ni mabingwa wa kitaifa wa draft na kuwapa masharti watafute sare Kwenye michezo 24..si mtu hatari huyo
Mwenye taarifa za ziada kuhusu mkulima atujuze
Mwenye account ya mkulima nasikia anaitwa amani sanga, draft kubwa alijulia wapi? wakati hajawahi shiriki mashindano ya kitaifa ya draft?
Kwenye chat, mkulima anawajua kina dogo ally, Shabaan Katoto, etc, wengine wanasema mkulima ni mzee mmoja wa ilala alikuwa ni bingwa wa draft zamani kidogo, sasa kama ni ivyo mbona anacheza copy zisizojulikana?
Mkulima anawafunga sisco na Ronaldo ambao ni mabingwa wa kitaifa wa draft na kuwapa masharti watafute sare Kwenye michezo 24..si mtu hatari huyo
Mwenye taarifa za ziada kuhusu mkulima atujuze