Mwaka jana December tulichanga tukafika 1.4M tukanunua ProFix acc na jamaa yangu, tukaipush level 2 za Trial kuja Live tukapiga 20M ndani ya Miezi 3, tukatoa na kugawana.. ile 10M ikamaliza kibanda changu Kigamboni, nikaikimbia Forex kama kichaaa, najua ukiizoea ni either unafilisika au utakuwa...
UDSM effect, hawa watu wakianzaga kuongea hupoteza maana halisi ya usomi na elimu kisa mapenzi ya chuo flan. Do your homework kabla hujaandika neno "haiwezekani", hususani ukiwa nje ya taaluma husika. Better ask than condemn.
Hello, naomba nijaribu kukujibu kuhusu Flight Operations Officer or Dispatc Course but on choice ya akasome nini bahati mbaya nitaacha achague mwenyewe.
Mimi ni Muhadhiri wa masomo ya Anga na Utengenezaji ndege so nitajaribu kukupa uhalisia (nitajaribu kutumia lugha mama pale istilahi...
Ila usihame Last Born, maana hata kwenye Biblia Yesu alituahidi anaenda kututengenezea makao kwa Baba yake, alafu sote tutaenda huko, so wewe zitakuwa za kutosha [emoji3][emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.