MKE WA POLISI (MSIPIGE WAKE ZENU)
Mwaka juzi nikapanda basi Singida kwenda Morogoro kwenye mishe zangu nikakaa siti iliyokuwa wazi. Ghafra akaingia mama mmoja akiwa na mtoto kama wa miaka 2 au 3 hivi. Akaja akakaa siti ya mbele yangu kapiga ushungi. Basi kile kitoto kilikuwa kisumbufu mara kilie akakipiga ndo kikazidi. Aliokaa nao wakamuona kero, basi nikamuomba mtoto wake nimbembeleze. Akaniptia Nikambembeleza, nikanunua vichokoleti na vijuice vya mango. Nahisi nilitumie kama elfu tano tu.Tukiwa njiani mtoto akawa amelala. Basi nikamwambia aje ambebe, ahamie nilipo, akaja bila hiana. Kwa kumwangalia nikagundua ana stress. Mtoto Nikaendelea kumbeba, nikamuuliza anaelekea wapi? Akasema hajui labda Dodoma kwa mdogo wake. Nikawa namuuliza kwa nn apande basi na asijue anakoenda, nikamwambia dunia imeharibika kama hayuko vizuri bora arudi au aende na mm Morogoro nitamchukulia kama binamu, hakujibu. Vilevile huyo mdogo wake ana taarifa kuwa anaenda kwake, akajibu hakuna. Nikamdodosa akasema ni mke wa askari polisi mmoja hapo singida na ana watoto wawili, Mke hajui mshahara wa mme wake na huwa anarudi usiku, akiuliza anapigwa, akanionesha baadhi ya majeraha, nikampa pole na kuanza kulaani wanaume wanaopiga wake zao. Nikamwambia angeshtaki kwa mkuu wa kituo, akasema huyu mkuu ni rafiki yake sana. Nikaanza kulaani viongozi wanaolea maovu na kushindwa kutoa haki hasa kwa wanawake. Nikaendelea kumwomba twende wote Morogoro, hakujibu. Tulipofika Dodoma nikamwambia tushuke tule chakula, akadai amefika. Nikamwambia tule kwanza, hakujibu. Uzuri dogo alikuwa ameniganda kweli, basi nikasimama nimembeba mtoto na nikamwambia naenda kula pamoja na mtoto basi atufuate. Nilipoinuka naye akainuka tukaambatana kula. Wakati wa kula mara nimlishe akawa anapokea na kutabasamu tu. Basi tukawa tunarudi kwenye gari, akakaa ( Kondactor alisahau hata kuomba nauli ) ya kuongezea maana alilipa mwisho Dodoma. Basi tukiwa njiani nikawa na mshika shika. Akawa anasema niache uchokozi, nikawa namjibu ni maandalizi ya mechi Morogoro ana tabasamu tu. Tulipofika Morogoro tukashuka nikabeba mtoto ( asiyetujua angedhani mke na mme ) tukaenda gest hapo Moro tulipokelewa vizuri sana. Nikalipa siku tatu. Nikanunua chakula na vinywaji vya baridi na moto. Hakunywa vya moto. Usiku huo mtoto alipolala nikaomba mzigo nikapewa, nilipiga viwili, asb nikamwamsha nikapiga viwili tena. Nikajiandaa kwenda kwenye mishe zangu, nikamwachia 30,000 ya matumizi asb na mchana yeye na mtoto wake. Jioni niliporudi akanywa wine. Msosi nikanunua tukala, mtoto alipolala mechi ilipigwa si ya kawaida, mara niitwe jina mara aseme nifanye ninachotaka ili mradi roho yangu ifurahi nilikatikiwa mikatiko amabayo sijaiona. Ikawa hivyohivyo hadi siku tatu zikaisha. Cha kufurahisha mtoto hakuwahi kubugudhi mechi zetu. Akaomba nimuoe, nikasingizia nina wake wawili akasema hakuna shida kikubwa amani. Basi tukakubaliana arudi kwanza kwa mme wake akatulie mengine baadaye. Nilimaliza mishe zangu, Nikampatia laki mbili tu. Alirudi kwa mme wake hadi sasa yupo naye. Kila nikimhitaji huwa najipigia tu. ( Namna alivyorudi kwa mmewe kibabe kwa mbinu zangu ni story nyingine)