Mjinga ni ww usiejua bure ni ghali. Mtihani wa tar 28/11/2020 unajua wanafunz na wazaz wao kutoka mkoa wa Manyara tu walivyotaabika wakinyeshewa mvua kama hayawani hapo shuleni!? Huku wakichukua video za kuombea misaada kwa hao wazungu?
Kati ya wanafunz wote hapo shuleni 5% ndo wa maskini kwa ajili ya kuzugia wanaobaki wazaz Wana kipato kizuri tu. Ukiuliza majirani wanaozunguka hiyo shule ndo utabaki mdomo wazi nanna uongozi wa shule wanavyotaabisha hao maskini.
Haya Mambo kuyaongelea tu ni rahisi lakini kupambana na madhara yake mmh maji kama maji utayaita mma ukiwa umelowa chapachapa.! Haijalishi umeelimika au laa Mila, desturi, tambiko za ukoo husika zinakuhusu.
Kabla hatujaenda mbaaali sana tujiulize.! Mishahara ya rais; makamu wake; waziri mkuu ni sh ngapi!??? Walio ajiri hao watu si ni sisi wananchi wa Tz!? Mbona basi wanakwapua huko hazina halafu wanafanya Siri!!?? Yaani nikuajiri halafu hutaki nijue nakulipa sh ngapi!!!
Ni Nani alisema katiba mpya haiko kwenye ilani yake!? Tena ni Nani amesema ndani ya siku 100 KATIBA MPYA itawekwa kati kuondoa huu ushenzi!? Yangu macho na mathikio!!!
Kiapo Cha huyu jamaa na baba yake hamkijui hata! Wanatuchezea akili tu wakati huu wa kampeni, uchaguz ukiisha hamtaamini watakavyoshikamana na kudhihirisha kiapo Chao ni Cha milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.