MKUU
Nikwambie tu!
Huko kujidai kwako,afya YAKO,amani iliyopo na furaha iliyopo hata kama ni kidogo MAISHANI mwako ni matokeo ya watumishi,maulamaa,wacha Mungu waliopo kwenye Taifa!
Ungetoa mchango wa kuboresha zaidi kuliko kuwa nanga hao JAMAA!
Mungu akufunulie ukweli kuhusu ULIMWENGU na...
Ikulu ni ofisi ya Rais sio ofisi ya waziri mkuu,ungepost jumba la mfalme/malkia ya uingereza ambaye ndio Kiongozi wa nchi waziri mkuu ni mtendaji tu kama kasimu majaliwa KWA HUKU kwetu!!
Post office ya kasimu majaliwa uifananishe na ya waziri mkuu wa uingereza!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.