MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Ndugu yangu,
Mshukuru sana Mungu kwa kukupa AFYA NJEMA, kwa kukupa UHAI na kwa kuendelea kukupa UZIMA.
Tena mshukuru sana sana kwa jambo hilo lenye umuhimu mkubwa sana kwenye maisha yako. Mengine ni matokeo tu. Na yeye pekee ndiye mgawaji wa hayo yote unayoyahitaji na kuyatamani.
Kama hakukupa jana, basi atakupa leo, na kama hajakupa leo, basi atakupa usiku huu, na kama hatakupa Usiku huu basi atakupa kesho.
"KAMWE USIKATE TAMAA NDUGU YANGU"
UMESIKIA RAFIKI?
Haya , Mungu akubariki sana na aendelee kukulinda na kukuongoza.
Mshukuru sana Mungu kwa kukupa AFYA NJEMA, kwa kukupa UHAI na kwa kuendelea kukupa UZIMA.
Tena mshukuru sana sana kwa jambo hilo lenye umuhimu mkubwa sana kwenye maisha yako. Mengine ni matokeo tu. Na yeye pekee ndiye mgawaji wa hayo yote unayoyahitaji na kuyatamani.
Kama hakukupa jana, basi atakupa leo, na kama hajakupa leo, basi atakupa usiku huu, na kama hatakupa Usiku huu basi atakupa kesho.
"KAMWE USIKATE TAMAA NDUGU YANGU"
UMESIKIA RAFIKI?
Haya , Mungu akubariki sana na aendelee kukulinda na kukuongoza.