Acha utabiri, ratiba ya julai 3 bado subiri kama matokeo yake yataamuliwa uwanjani au kikanuni
Nakukumbusha hata mechi zinazoamuliwa kikanuni zinajazwa kwenye mkeka wa ligi
Mwisho kabisa;Simba wanahitaji point 4 tu akabidhiwe kombe
Nianze kwa kumpa Mama yetu mpendwa pongezi za dhati kabisa
Pongezi hizi ni kwa namna anavyojaribu kuwaonjesha watu tofaouti tofauti utamu wa keki ya taifa na pia wengine wa'feel some pain kwa jinsi ilivyowaponyoka kirahisi mfano mzuri Chalamila na wengine kama hao, hii inaleta sura nzuri kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.