Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Mwone Manara akusaidie namba maana kasema ana meseji zake alizomtumia...hautatusumbua uku
 
Wadau kwanza naomba radhi kwa nilochokiandika endapo huyu mlimbwende atakua ameolea.kwanza naomba mwenye taarifa sahihi juu ya huyu binti kama ameolewa au la.Nimeamua kumchugua mrembo huyu kwani ameonyesha kua yeye ni binti aliyelelewa vizuri na ametokea kwenye familia inayojitambua,dada huyu ni mpole na anauwezo mkubwa wa kukabiliana na matatizo.kitendo cha manara cha kumdhalilisha mara kadhaa na yeye kukaaa kimya nakuomba radhi japo hajakosea kwangu mm naona huyu mtu ni mke wa ndoto yangu.Tayari nimeshaanza maaandalizi kutoka mkoani kwenda dar ambapo ntakutananae ana kwa ana ili nimueleze nia yangu,raia yangu kwenu wanajamvi mniombeee ili lengo langu litimie na mpata shemeji na wifi yenu.mungu anitangulie.
Hahahaha!! Kweli sio mchezo yani mnaenda kutumia sehemu zenu za siri sisi tuwe waunganishaji au wasemaji, umetukosea sana heshima tutake radhi.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha!! Kweli sio mchezo yani mnaenda kutumia sehemu zenu za siri sisi tuwe waunganishaji au wasemaji, umetukosea sana heshima tutake radhi.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
🤣🤣Mkuu jamaa ameguswa tu na umakini wa yule dada...kosa lake kujiexpress kwetu wadau ? Ha ha ha
 
Wheya Foto ofu zati gelo ai wanti tu sii haa bodi espeshali chura

Picha picha picha

Sie wa huku mikoani tumjue!
🏃🏃
 
Nakukumbusha kuwa hana chura...
 
Nakukumbusha kuwa hana chura...
Kama Hana chura wanini Sasa huyo?
Mwanamke Ni pambo la nyumba. Kumbuka muda unaokaa na mke usiku Ni mrefu kuliko muda unaijua naye mchana.
 
Picha tafadhali itanogesha Uzi, au naongopa ndugu yangu?
images (3).jpeg
 
Wadau kwanza naomba radhi kwa nilochokiandika endapo huyu mlimbwende atakua ameolea.kwanza naomba mwenye taarifa sahihi juu ya huyu binti kama ameolewa au la.Nimeamua kumchugua mrembo huyu kwani ameonyesha kua yeye ni binti aliyelelewa vizuri na ametokea kwenye familia inayojitambua,dada huyu ni mpole na anauwezo mkubwa wa kukabiliana na matatizo.kitendo cha manara cha kumdhalilisha mara kadhaa na yeye kukaaa kimya nakuomba radhi japo hajakosea kwangu mm naona huyu mtu ni mke wa ndoto yangu.Tayari nimeshaanza maaandalizi kutoka mkoani kwenda dar ambapo ntakutananae ana kwa ana ili nimueleze nia yangu,raia yangu kwenu wanajamvi mniombeee ili lengo langu litimie na mpata shemeji na wifi yenu.mungu anitangulie.
Ni jambo jema sana ila Ushauri wangu ni Mmoja tu Kwako mkikubaliana hakikisheni mnapimana sana Afya ( hasa UKIMWI ) tena kwa Kushtukizana na msiaandaeni lini mnaenda ili mpate Majibu yenu sahihi ambayo mkiyapata nitaomba pia mtuletee hapa Wadau ili tuyajue ili tuwapongezeni kwa kuwa salama au tuanze Kulia pengine kwa Mmoja wenu Kukutwa nao nikimaanisha ameshaathirika.
 
Ni jambo jema sana ila Ushauri wangu ni Mmoja tu Kwako mkikubaliana hakikisheni mnapimana sana Afya ( hasa UKIMWI ) tena kwa Kushtukizana na msiaandaeni lini mnaenda ili mpate Majibu yenu sahihi ambayo mkiyapata nitaomba pia mtuletee hapa Wadau ili tuyajue ili tuwapongezeni kwa kuwa salama au tuanze Kulia pengine kwa Mmoja wenu Kukutwa nao nikimaanisha ameshaathirika.
Pamoja sana mkuui.
 
Ni jambo jema sana ila Ushauri wangu ni Mmoja tu Kwako mkikubaliana hakikisheni mnapimana sana Afya ( hasa UKIMWI ) tena kwa Kushtukizana na msiaandaeni lini mnaenda ili mpate Majibu yenu sahihi ambayo mkiyapata nitaomba pia mtuletee hapa Wadau ili tuyajue ili tuwapongezeni kwa kuwa salama au tuanze Kulia pengine kwa Mmoja wenu Kukutwa nao nikimaanisha ameshaathirika.
Ulivyomalizia mwishoni kuna ukakasi.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom