Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,430
- 4,222
Kuna vitu mabeberu wanafanya ukiwaza unaona tuko dunia mbili tofauti. Hapo hiyo laki moja Kwa beberu ungepeleka kwenye kampuni ungerudi na gari ukawa unalipa huku unakula kiyoyozi .ukiichoka unarudisha unachagua nyingine mkataba unaendelea ili mtadi uwe unajishighulisha senti kadhaa za uhakika zinaingia mashalaahLeo nimeweka laki moja kwene acc maarumu kwa ajili ya kununua gar
Gari ninayoitaka ni Rav4 new model black
!!
Bei zake nimechek cheki kwene mitandao ni milion 23-24
!!
Sijui itabichukua muda gani kufikia lakini nimeona bora nianze kujichanga naipenda sana hiyo gar!!
Ebu mnishauri mliofanikiwa kununua gar yeyote kwa kujichanga kidogo kidogo AU KAMA KUNA NJIA NYINGINE NZURI YA KUTIMIZA MALENGO JISHAURINI