Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,434
☝
Expansion Joint ya Chuo kikuu cha DSM kama mnaikumbuka ndio mfano halisi wa mabeki wa Yanga .
Bila Lamine Moro hawataweza kupata Clean sheet milele, unaweza kudhani Mwamnyeto ni beki bora, lakini ukweli ni kwamba Mwamnyeto ni uchochoro sana, hajitumi kabisa, nadhani lengo lake alipokuwa anakaza pale coastal union lilikuwa kupata nafasi ya kucheza yanga au simba na sasa amefanikiwa na ameamua kuzugazuga tu.
Dawa pekee ya kuiboresha Yanga ni kurudisha Lamine.
Huu ni ushauri tu.