Makadirio ya Nyumba yanatokana na Eneo husika na namna Msingi unavyotaka kujengwa.
Mfano , Mtu anae chimba Msingi wa futi 3 ni tofauti na Msingi wa futi 2 ama futi 1 na Nusu
Pia inategemea na Msingi wa hiyo Nyumba , mfano baada ya kuchimba kule China unatanguliza nini...so watu wengi hiki kitu...
Nilisema tangu uefa ya last year Barcelona wana shida ya mild-field ..niliwah kusema hata cout, ama dembele should not be the main target bali waangalie overhaul ya mild field kwa ujumla..! Kitu kingne kocha ni mbovu sana ..humiliation mara 2 mfululizo na board mpaka sasa bado imemshikilia ...
Sure...we have no justification on that...Barcelona si team kupambana kubeba la liga ..kwetu la liga ni Maji ya kunywa..we need more energy kwenye kampen ya kuchukua uefa..tangu nifungwe na Roma kwa aibu sina ham ya kuangalia mech za mpira mpaka world cup!
Mkuu Tatzo ni mildifield. Hil ndio tatzo kubwa sana Barcelona..viungo tulio nao wote ni wazee..I mean tunatakiwa kufanya overhaul ya viungo..tatzo hil uongoz hata haushituk.. Pia kocha wetu ni tatzo lingne..huwez kuongoza goal 4-1 ukaja kufa 3-0.. Aibu kubwa sana kwa barca..
Aiseee...inasikitisha sana kuwa na kocha Wa ajabu kama huyu. Team ilihtaj Ku place high bado anacheza defensive game. Huu ni upuuz kabsa. Team imecheza hovyo kabsa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.