Recent content by Mr simple M

  1. Mr simple M

    Mrejesho wa miaka 10 ya msoto baada ya kuhitimu chuo kikuu

    Tunaomba achievement Mkuu
  2. Mr simple M

    Wanaojua kutumia pesa, akaunti zao zinasoma salio kidogo

    Motivation na bia zinakuharibu kijana Whatever the case cash bado ni muhimu sna
  3. Mr simple M

    Wanaojua kutumia pesa, akaunti zao zinasoma salio kidogo

    Kama ukipeleka pesa mahali akaunti yako inakonda kiasia Cha kubaki na 20k 50k ni wazi we ni mgaa gaa na upwa
  4. Mr simple M

    Ukizawadiwa tunda kirahisi usile kwa mapepe

    It's so complicated
  5. Mr simple M

    Season 2: Akili ya binadamu

    Shusha vitu mkuu
  6. Mr simple M

    Season 2: Akili ya binadamu

    Mungu niondolee hii ID ili nienende vyema
  7. Mr simple M

    Hii vita ya Mwanadamu na Shetani haina usawa na haki

    Lakini mkuu tuliambiwa huko rohoni tuwe na yesu kristo atupiganie Japo ni kweli vita hii ina utata mwingi Lakini MKUU ndy amependeza hivyo
  8. Mr simple M

    Mambo matano yatakayokusaidia kuijua tabia iliyojificha ya mke/mpenzi wako

    Tatizo moyo yaani hata wakiyaona hayo watajipa moyo tu siunajua tena mapenzi tena Kiufupi mpaka damu ziwatoke maskioni ndio wataelewa
  9. Mr simple M

    Kwanini Vijana wetu wamezidiwa sana na wenzao wa Senegal

    Na mashaka na reasoning capacity yako
  10. Mr simple M

    Damu sio nzito kuliko maji

    Tatizo hamtaki kukubaliana na uhalisi wa maisha Pia ndugu nao ni watu Kama watu wengine wanaweza kufanya lolote Nafikiri busara inahitajika hapo na sio chuki Ikumbukwe wewe pia ni ndugu kwa mtu fulan anayelalamika ndugu wabaya Tumia akili achana na hisia We're all bad character in...
  11. Mr simple M

    Acha kuponda starehe msaidie ndugu yako achomoke kwenye tanuru la umaskini

    Yah the boat may sink but I no gonna lock it cause see doesn't know my name
  12. Mr simple M

    Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo

    Mambo yamejaa uchovu kweli kweli hebu fikria Mimi nije nikueleze magumu yangu wakati na wewe unamagumu yako hatuwezi kuelewana Kiufupi tujipe moyo tu huku tukisubili Yale mawe tulotenga jikon yaive
  13. Mr simple M

    Ni moment gani? ambayo mpenzi wako alikufanyia na umeshindwa kuisahau

    Nothing strange Bali ni mwendelezo wa UBATILI MTUPU
Back
Top Bottom