Recent content by Mr simple M

  1. Mr simple M

    Msaada namna ya kusimamia tawi la biashara iliyombali km40

    Tatizo hujasema ni biashara aina ipi
  2. Mr simple M

    Huwa nikiona hizi sura kwenye cover ya movie sijiulizi mara mbili kuhusu kutazama hiyo movie

    Kwa wazee wa action za mapigano uko sawa ila bila kumuona cillian Murphy aka Thomas sherby list ni batili
  3. Mr simple M

    Ndugu/Watoto wa kishua ni changamoto sana. Msaada please..

    Mkuu ww mpaka umri huo bado hujajua kudeal na mtanzania. Mtu ambae hajakutafuta kwa miezi sita anakuuliza mbona humtafuti???? Yaani anajihami Kiufupi bongo unatakiwa kukaa katikati au kuwa mnafiki Sometimes weka salio wapigie tu wote wasalimie hata unajua kabisa hawakukubali ili wakose...
  4. Mr simple M

    Wapi nitapata trekta Right hand drive

    Hili levi nini mbona tractor zote ni centre drive au unamaanisha upande wa gearleaver
  5. Mr simple M

    Hakika Maisha ya Binadamu Hayana Maana na Hakukuwa na Sababu ya Kuwepo Ulimwenguni

    Mkuu hebu nisaidie kujibu swali hili unadhani maisha yangekua vp ndio yangekua na maana kwa binadamu
  6. Mr simple M

    Airtel Money sio salama. Nimebadili neno la siri bila Kuhojiwa taarifa zozote Muhimu na wahudumu kuhusu Account yangu

    Hiyo hutegemea na kiasi cha pesa ulichonacho mkuu uje uweke 2mil alafu jaribu kubadili
  7. Mr simple M

    Mke wangu kaja na style mpya ya kukulana

    Si umuelewee tu mkuu kwa sasa teknolojia iko mbali unaweza kujifunza lolote mahali popote acha kutumia hisia ikiwa kuna kitu hakiko sawa muda utasema
  8. Mr simple M

    Gharama kwa kila kosa

    Naunga mkono hoja Yaani kama jeshini hakuna bahati mbaya ni labda ulikusudia au umefanya uzembe na yote yanastahiri adhabu
  9. Mr simple M

    Madhara ya kutotambua kusudi lako hapa Duniani

    Hebu tutolee myth hapa ati kusudio la mtu la hapa dunia Mazingira na vinasaba ndio huamua hatima ya mtu Sasa kama kusuduo langu hapa dunuani ni kuwa kiongozi hapa dunia so what end of days we are both the dust of ashes hebu wacheni ujinga andikeni fact
  10. Mr simple M

    Bora tunakufa, Maana maisha yamekuwa bored. (yanakinaisha)

    Life is scammed we are busy chasing our ego not reality Na ndio maana mwisho wa kila jambo tunakua disappointed sio ndoa sio mafanikio sio urafiki Binafisi hata maisha baada ya kufa siyataki naunga mkono hoja BORA TUNAKUFA Akili za kuvukia barabara wanafikiri umechanganyikiwa.
  11. Mr simple M

    Ushauri wapi patanifaa

    Penzi ni kama mlima mlima Kilimanjaro huwezi panda ukiwa china mpaka uje Kilimanjaro Namaanisha tena badget tembelea geita hasa nyarugusu pia kakola pia pita kahama utauza sana huko hasa ukiwa bonge la dada siunawajua tena matajiri wa kisukuma kwa shobo
  12. Mr simple M

    Ni nguvu gani inayofanya mwanamke na mwanaume wajamiiane?

    Hapo ndio huwa naona we are scammed sexual desire ni tamu kuliko sex yenyewe ili tuzaliane sana
  13. Mr simple M

    Natafuta wanunuzi wa nondo aina ya bs500(hardwares na construction companies)

    Tembelea sites na hardware uongee nao watu wanao weza kuafford deal kama hizo ni mara chache sana kuwapata huku
  14. Mr simple M

    Wafahamu kwa uchache "Madada Poa" wa Barabarani

    Kw heshima naomba ujibu maswali ya huyu memba yana uzito saba tena moja baada la lingine kama ukiweza achana na huo uzi uliopita leo tuko hapa
Back
Top Bottom