Mkuu ww mpaka umri huo bado hujajua kudeal na mtanzania.
Mtu ambae hajakutafuta kwa miezi sita anakuuliza mbona humtafuti????
Yaani anajihami
Kiufupi bongo unatakiwa kukaa katikati au kuwa mnafiki
Sometimes weka salio wapigie tu wote wasalimie hata unajua kabisa hawakukubali ili wakose...
Hebu tutolee myth hapa ati kusudio la mtu la hapa dunia
Mazingira na vinasaba ndio huamua hatima ya mtu
Sasa kama kusuduo langu hapa dunuani ni kuwa kiongozi hapa dunia so what end of days we are both the dust of ashes hebu wacheni ujinga andikeni fact
Life is scammed we are busy chasing our ego not reality
Na ndio maana mwisho wa kila jambo tunakua disappointed sio ndoa sio mafanikio sio urafiki
Binafisi hata maisha baada ya kufa siyataki naunga mkono hoja BORA TUNAKUFA
Akili za kuvukia barabara wanafikiri umechanganyikiwa.
Penzi ni kama mlima mlima Kilimanjaro huwezi panda ukiwa china mpaka uje Kilimanjaro
Namaanisha tena badget tembelea geita hasa nyarugusu pia kakola pia pita kahama utauza sana huko hasa ukiwa bonge la dada siunawajua tena matajiri wa kisukuma kwa shobo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.