Ma
Maelezo yapi mkuu? panda gari mpaka bagamoyo ukifika ulizia kiwanda cha sukari bagamoyo fata maelekezo mpaka ufike ukifika getini waambie wewe ni mkataji miwa utaelekezwa na kesho yake utaanza kazi malipo ni kila baada ya week 2
Pale kila siku utapewa kipimo ukimaliza tu unaandikiwa day...
Kuna kitu jamii za kimaskini tunashindwa kuelewa sio kwamba sisi hatuwezi kuvumbua mimi tu binafsi katika makuzi nilikua mvumbuzi sana tu
Lakini ukweli ni kwamba vumbuzi ni gharama sana unahitaji muda material mbalimbali,utahitaji rasilimali watu una hitaji garage au maabara kwa ajiri ya...
Wewe kaaply alafu anza mchakato zanzibar hakuna usumbufu sana utapata mapema lakini siku ya kuripoti ikifika uende na loss report atapokelewa na uwaeleze Hayo unayoeleza hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.