Haya ni matatizo ya uwezo mdogo wa kufikiri.Elewa hili jukwaa la watu wenye uwezo wa kufikiri .Nenda ka google utapata faida nyingi lakini tatizo lako ni udini unaokusumbua.
Utawala unapofika mwisho tegemea haya yote kutokea.Kadri unyanyasaji unavyozidi dhidi ya watu wake ni dalili tosha ya kuanguka kwa serikari iliyopo madarakani.
Sita poteza pesa yangu kwa magazeti kama haya.Ni kweli kuanzia mwishoni mwa mwaka jana hili gazeti limepoteza mwelekeo pia linaelekea shimoni.Sisi wadau wa magazeti tunajua kwa maana ni magazeti mengi tu tuliyatabilia na sasa wakiuza copy 1000 wanashukuru.
Tatizo lako ni uelewa naamini unachojua wewe ni tofauti ya maana halisi ya majimbo.Ndio maana unatoa tafsiri tofauti na maana halisi.Tatizo la nchi hii kila mtu ni msemaji tu hata kama haelewi.
Ukikosea jinsi ya kuingia hata kutoka huwa ivyo ivyo.Wote wanafiki tu kama wanampenda wangekubali kukaaa na mtoto mtu kwa muda wote huo hadi kupata watoto wawili.Nao wanawake wamezidi kujipeleka sana.Siku zote wanaume huwadhalau sana wanawake wanaojipeleka kuishi kabla ya ndoa.Mfano haya yapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.