MR.PRESIDENT
Member
- May 18, 2012
- 64
- 14
Ukikosea jinsi ya kuingia hata kutoka huwa ivyo ivyo.Wote wanafiki tu kama wanampenda wangekubali kukaaa na mtoto mtu kwa muda wote huo hadi kupata watoto wawili.Nao wanawake wamezidi kujipeleka sana.Siku zote wanaume huwadhalau sana wanawake wanaojipeleka kuishi kabla ya ndoa.Mfano haya yapo kibao hapa sinza.