Wakuu habari za Leo! Naomba niwashirikishe sakata la kungolewa Mita/ Dira za Maji na Koki lililotokea usiku wa kuamkia Leo huku kwetu Kiluvya Madukani/Almaarufu kwa Omari, Makurunge Jirani na shule ya Msingi Maximilian.
Ambapo , Leo asubuhi wakazi wengi wa maeneo haya wenye mita mpya za maji...
Leo tena inajirudia karaha ya siku zote, abiria wanasota vituoni korogwe na Kimara kwa zaidi ya masaa mawili wakisubiri gari yenye nafasi wapande waingie katika uzalishaji mali na kuliendeleza taifa.
Binafsi nimefika kituoni saa moja asubuhi mpaka saiz saa tatu na nusu sijaweza kupanda kwenye...
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeendelea kudhihirisha kuwa usafiri wa Mwendokasi bado hauwezi kutatua changamoto za usafiri jijini Dar! Leo asubuhi tangu saa moja kasoro mpaka sasa saa 3 mamia ya raia wanaendelea kusota kituoni huku wengine wakiamua kughairi na kutoka nje ya kituo kutafuta...
Daah! Ninashaka hata ukitongoza Huwa unatumia neno mala badala ya mara.Utapigwa sana vibuti mpaka ujifunze kiswahili kizuri. Unaonekana Mjanja lakini mrugaruga kiaina.Ushauri wangu tafta pesa mademu wapo wengi tu na hamna demu mgumu kama unapesa , sisi hata kutongoza tushasahau. Huwa tunaonesha...
Naunga mkono Uzi huu. Ingawa Nampa pole mleta Uzi kwa kashfa anazoletewa humu na baadhi ya watu ambao nahisi wananufaika na mfumo wa Bei za vyakula kupanda. Maoni yangu; hakuna namna waziri mwenye dhamana anaweza kukwepa lawama katika hali hii! wananchi wanapata tabu sana kwa hali hii ya Sasa...
Akili za vijana wengi ni za kijinga kabisa. Yaani unakopa au unasave 150 ml ili ujenge ghorofa la kuishi ambalo pia Halijaisha. Kujenga ni uwoga wa Maisha. Kula Bata , ishi nyumba nzuri ya kupanga, lakini tafta eneo zuri Jenga apartments zako ,utaishi kama mfalme. Uishi kwenye ghorofa umekuwa popo,
Kama kweli shule hiyo inafanya vitendo hivo , tunaomba serikali wachukue hatua kali sana juu ya walimu na mmiliki wa shule hiyo ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia za namna hiyo.
Mkuu kumbe nawe ulisoma Mkwawa? Mkwawa ilikuwa balaa, hiyo kombolela isikie tu, mimi niliwahi jikuta nimekubwa na kombolela walimu wanne waliingia bwenini na viboko vya kutosha saa 1 asubuhi sisi tukiwa bado tunaoga tulikuwa washkaji kama 5 hivi , basi jamaa walitembeza bakora ivo ivo bila...
Daah! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,huyo Mwl.Masatu wa Mkwawa ni alikuwa mbabe kweli kweli , alikuwa Mwalimu wangu wa bweni la Shaban Robert East ,siku 1 usiku saa 7 natoka prepo nilikuwa na kiradio changu kidogo, vile naingi bwenini, nikisikiliza miziki ya juma nature mara pap nasikia Sauti...
Daah! Roman Catholic will remain the best Church ever in every thing eg. Leadership structure, Ethics, Faith and all what you know. Hivi kweli hata wewe mleta Uzi na usomi wako( nahisi kidogo umefanikiwa kubukua) unaweza ukaeleza kuwa hayo unayoita mafanikio ya Kimaro ni yeye ndio kayaleta na...
Jambo lingine ninalokumbuka ,nikiwa kidato Cha 4 usiku,huku kesho yake tukiwa tunaanza mitihani ya taifa niliwahi kuacha kusoma prepo usiku baada ya kufuatwa na washkaji tukasolve paper ya hesabu imevuja eti Kuna mwana anayo basi tulikomaa tukisolve paper fake kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 9, by...
Wakuu Habari za Jumapili? Binafsi sijawahi kubadili dini yangu ya awali, ila ninae kaka yangu yeye aliwahi kuhama kutoka KKKT, Full gospel, EAGT na saizi yupo kanisa lingine. Je, humu ndani tunao watu wenye kuhama hama ivo, Nini hasa sababu ya kufanya hivyo.
Tunaomba mlete uzoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.