Recent content by MR.NOMA

  1. MR.NOMA

    DOKEZO Mita/Dira za Maji zang'olewa usiku wa manane jana-Kiluvya -Kibaha. Waziri wa Maji tupia jicho hapa

    Wakuu habari za Leo! Naomba niwashirikishe sakata la kungolewa Mita/ Dira za Maji na Koki lililotokea usiku wa kuamkia Leo huku kwetu Kiluvya Madukani/Almaarufu kwa Omari, Makurunge Jirani na shule ya Msingi Maximilian. Ambapo , Leo asubuhi wakazi wengi wa maeneo haya wenye mita mpya za maji...
  2. MR.NOMA

    Radi ya Maajabu yapiga Tanga, TMA toeni Taarifa

    Mkuu,Poleni sana, tunaomba uelezee uajabu wake hiyo Radi. Maana hatuja kuelewa kabisa.
  3. MR.NOMA

    Ongezeni mabasi ya kutoa huduma ya usafiri DART Stendi Kuu ya Kimara Mwisho, watu ni wengi na mabasi ni machache

    Leo tena inajirudia karaha ya siku zote, abiria wanasota vituoni korogwe na Kimara kwa zaidi ya masaa mawili wakisubiri gari yenye nafasi wapande waingie katika uzalishaji mali na kuliendeleza taifa. Binafsi nimefika kituoni saa moja asubuhi mpaka saiz saa tatu na nusu sijaweza kupanda kwenye...
  4. MR.NOMA

    Hali ilivyo kituo cha Mwendokasi Kimara Korogwe, wengine waghairi na kutoka nje ya kituo

    Mvua zinazoendelea kunyesha zimeendelea kudhihirisha kuwa usafiri wa Mwendokasi bado hauwezi kutatua changamoto za usafiri jijini Dar! Leo asubuhi tangu saa moja kasoro mpaka sasa saa 3 mamia ya raia wanaendelea kusota kituoni huku wengine wakiamua kughairi na kutoka nje ya kituo kutafuta...
  5. MR.NOMA

    Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

    Tusipende kufurahia matatizo ya watu, tunajilaani wenyewe.
  6. MR.NOMA

    Mke wangu amenipiga kwenye makende

    Daah! Huyu jamaa anajua kutuseti, eti kanipiga kwenye mabumbu. Nimesoma nikacheka Kwa sauti
  7. MR.NOMA

    Usihangaike kutongoza Mwanamke Mzuri asiye na hisia na wewe. (Jinsi ya kutongoza.) Raha ya mapenzi kupendwa

    Daah! Ninashaka hata ukitongoza Huwa unatumia neno mala badala ya mara.Utapigwa sana vibuti mpaka ujifunze kiswahili kizuri. Unaonekana Mjanja lakini mrugaruga kiaina.Ushauri wangu tafta pesa mademu wapo wengi tu na hamna demu mgumu kama unapesa , sisi hata kutongoza tushasahau. Huwa tunaonesha...
  8. MR.NOMA

    Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

    Naunga mkono Uzi huu. Ingawa Nampa pole mleta Uzi kwa kashfa anazoletewa humu na baadhi ya watu ambao nahisi wananufaika na mfumo wa Bei za vyakula kupanda. Maoni yangu; hakuna namna waziri mwenye dhamana anaweza kukwepa lawama katika hali hii! wananchi wanapata tabu sana kwa hali hii ya Sasa...
  9. MR.NOMA

    Ushauri Kwa Vijana kuhusu ujenzi

    Akili za vijana wengi ni za kijinga kabisa. Yaani unakopa au unasave 150 ml ili ujenge ghorofa la kuishi ambalo pia Halijaisha. Kujenga ni uwoga wa Maisha. Kula Bata , ishi nyumba nzuri ya kupanga, lakini tafta eneo zuri Jenga apartments zako ,utaishi kama mfalme. Uishi kwenye ghorofa umekuwa popo,
  10. MR.NOMA

    Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

    Kama kweli shule hiyo inafanya vitendo hivo , tunaomba serikali wachukue hatua kali sana juu ya walimu na mmiliki wa shule hiyo ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia za namna hiyo.
  11. MR.NOMA

    Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule nyingine

    Mkuu kumbe nawe ulisoma Mkwawa? Mkwawa ilikuwa balaa, hiyo kombolela isikie tu, mimi niliwahi jikuta nimekubwa na kombolela walimu wanne waliingia bwenini na viboko vya kutosha saa 1 asubuhi sisi tukiwa bado tunaoga tulikuwa washkaji kama 5 hivi , basi jamaa walitembeza bakora ivo ivo bila...
  12. MR.NOMA

    Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule nyingine

    Daah! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,huyo Mwl.Masatu wa Mkwawa ni alikuwa mbabe kweli kweli , alikuwa Mwalimu wangu wa bweni la Shaban Robert East ,siku 1 usiku saa 7 natoka prepo nilikuwa na kiradio changu kidogo, vile naingi bwenini, nikisikiliza miziki ya juma nature mara pap nasikia Sauti...
  13. MR.NOMA

    Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

    Daah! Roman Catholic will remain the best Church ever in every thing eg. Leadership structure, Ethics, Faith and all what you know. Hivi kweli hata wewe mleta Uzi na usomi wako( nahisi kidogo umefanikiwa kubukua) unaweza ukaeleza kuwa hayo unayoita mafanikio ya Kimaro ni yeye ndio kayaleta na...
  14. MR.NOMA

    Je, umewahi kufanya jambo gani la hovyo mpaka ukajutia?

    Jambo lingine ninalokumbuka ,nikiwa kidato Cha 4 usiku,huku kesho yake tukiwa tunaanza mitihani ya taifa niliwahi kuacha kusoma prepo usiku baada ya kufuatwa na washkaji tukasolve paper ya hesabu imevuja eti Kuna mwana anayo basi tulikomaa tukisolve paper fake kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 9, by...
  15. MR.NOMA

    Umewahi kubadili dini na badae ukarudi dini yako ya awali? Ilikuwaje?

    Wakuu Habari za Jumapili? Binafsi sijawahi kubadili dini yangu ya awali, ila ninae kaka yangu yeye aliwahi kuhama kutoka KKKT, Full gospel, EAGT na saizi yupo kanisa lingine. Je, humu ndani tunao watu wenye kuhama hama ivo, Nini hasa sababu ya kufanya hivyo. Tunaomba mlete uzoefu.
Back
Top Bottom