Hali ilivyo kituo cha Mwendokasi Kimara Korogwe, wengine waghairi na kutoka nje ya kituo

MR.NOMA

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
338
502
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeendelea kudhihirisha kuwa usafiri wa Mwendokasi bado hauwezi kutatua changamoto za usafiri jijini Dar! Leo asubuhi tangu saa moja kasoro mpaka sasa saa 3 mamia ya raia wanaendelea kusota kituoni huku wengine wakiamua kughairi na kutoka nje ya kituo kutafuta usafiri mwingine.

Adha hii ya usafiri inasemekana ipo pia kituoni Kimara na vituo vingine.

USHAURI- Mamlaka zinazohusika zifanyie kazi changamoto hii ikiwemo kuruhusu gari zingine ziweze kusafirisha raia wawahi kazini. Hii kukaa kituo cha basi masaa matatu inazorotesha uzalishaji na kuongeza umasikini kwa kuwa shughuli za kiuchumi zinaathirika pia.

IMG_20231106_084504_515.jpg
 
CEO wa hiyo kampuni aliteuliwa bila kujali Kama ana managerial skills, na yeye bila Soni akakubali kufanya hiyo kazi ambayo haiwezi.

Tell me, tangu aingie amenunua mabasi mengine mapya nangapi?

Nepotism will lead this country to the grave.
 
Umeshawahi kufika India ukaona ule wingi wa pikipiki, hata hapo kampala tu pikipiki nyingi sana na zinasaidia mno watu kukwepa adha ya public transport ila kwa kuwa mmezoea kubashiana kwenye magari hamtakubali.
Au cio Mkuu wale wazee madungadunga kama nawaona hata gari liwe limejaa vp wako radhi kubanana ili malengo yao yatimie
 
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeendelea kudhihirisha kuwa usafiri wa Mwendokasi bado hauwezi kutatua changamoto za usafiri jijini Dar! Leo asubuhi tangu saa moja kasoro mpaka sasa saa 3 mamia ya raia wanaendelea kusota kituoni huku wengine wakiamua kughairi na kutoka nje ya kituo kutafuta usafiri mwingine.

Adha hii ya usafiri inasemekana ipo pia kituoni Kimara na vituo vingine.

USHAURI- Mamlaka zinazohusika zifanyie kazi changamoto hii ikiwemo kuruhusu gari zingine ziweze kusafirisha raia wawahi kazini. Hii kukaa kituo cha basi masaa matatu inazorotesha uzalishaji na kuongeza umasikini kwa kuwa shughuli za kiuchumi zinaathirika pia.

View attachment 2805586
hili shirika linatakiwa kubinafsishwa apewe mtu mwenye uwezo wa kuagiza mabasi mengi ya kutosha. kwasababu hapo shida ni uchache wa mabasi, hakuna kingine. na serikali haioni hilo.
 
CEO wa hiyo kampuni aliteuliwa bila kujali Kama ana managerial skills, na yeye bila Soni akakubali kufanya hiyo kazi ambayo haiwezi.

Tell me, tangu aingie amenunua mabasi mengine mapya nangapi?

Nepotism will lead this country to the grave.
utakuta serikali inanunua ndege, wakati dege moja tu ni sawa na mabasi kama hayo zaidi ya 200. au ile mipesa wanaenda kulipa kwasababu walivunja mikataba vibaya, inatosha kabisa kuondoa hiyo adha. africa ni mindset tu ila resources tunazo.
 
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeendelea kudhihirisha kuwa usafiri wa Mwendokasi bado hauwezi kutatua changamoto za usafiri jijini Dar! Leo asubuhi tangu saa moja kasoro mpaka sasa saa 3 mamia ya raia wanaendelea kusota kituoni huku wengine wakiamua kughairi na kutoka nje ya kituo kutafuta usafiri mwingine.

Adha hii ya usafiri inasemekana ipo pia kituoni Kimara na vituo vingine.

USHAURI- Mamlaka zinazohusika zifanyie kazi changamoto hii ikiwemo kuruhusu gari zingine ziweze kusafirisha raia wawahi kazini. Hii kukaa kituo cha basi masaa matatu inazorotesha uzalishaji na kuongeza umasikini kwa kuwa shughuli za kiuchumi zinaathirika pia.

View attachment 2805586
Tz bwana
 
utakuta serikali inanunua ndege, wakati dege moja tu ni sawa na mabasi kama hayo zaidi ya 200. au ile mipesa wanaenda kulipa kwasababu walivunja mikataba vibaya, inatosha kabisa kuondoa hiyo adha. africa ni mindset tu ila resources tunazo.
Ndege wanapata viongozi wateule na wenye madaraka tu nachawa wachache
 
Ndege wanapata viongozi wateule na wenye madaraka tu nachawa wachache
unajua ni akili ya kawaida tu, Dege moja linagarimu karibia bilioni mia ngapi sijui, utanunua mabasi hayo ya mchina mangapi? mengi sana unaondoa kabisa mrundikano wa watu huo.
 
Back
Top Bottom