Recent content by Mambaz 24 jr

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

    Kila la kherii
  2. M

    JamiiForums Tanzania Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    Rangi ya chungwa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

    Mm nashauri jari MM nashauri jaribu kutafta wazo lingine kwa ajiri ya kujikwamua kimaisha, unalo zungumzia kufanya biashara ya samaki au dagaa maana yake unagusa sehemu ya chakula ambayo ndio msingi wa afya ya binadamu. Hivyo basii ni ngumu sana mtu kukuamini umtaftie hao vitoeo. Tafta mtaji...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

    Ni Una idea hio hio tu au una nyingne? Na upo wapii? Mtaa,wilaya na mkoaa
  5. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa, ipo mtoni Kijichi, bei ni milioni 650

    Nina 600 boss vio unachukua?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

    Kwahio tunakutumia pesa ndio unafata mzigo au mzigo upo tyr bila kutegemea pesa zetu?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu mzima akilala hawezi kuanguka kitandani anapojigeuza

    Naunga mkono hoja, nina swali jingine je kwanini mtu hapigi chafya akiwa usingizini?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Heche hataki Lissu atoke, anachekelea umaarufu wa kufa kufaana

    Kama ni hivo basi muachieni lissu ili mumukomoe heche.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Binti wa zamani

    Level za mama Yako huyo, ni mkubwa kuliko wote hapa jf. Mwenzio ana join jf wewe hata elimu ya upili hujaanza.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ahsante sana Azam TV kwa kutuonyeshe mechi zote za World Cup 2026

    Tena HD. nimezoea kuangalia kombe la Dunia sasa Jana kwenye mechi ya Simba na Azam nilikua naona kama ndondo tu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kama unamjua mtaje?

    Umeamua kuja na I'd nyingne tena? Mnapata faida gani kuwa na I'd nyingi kwenye watu wasio julikana.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Biashara 4 zenye Faida kubwa zaidi nchini Tanzania kwa sasa. Matajiri hawataki uzijue

    Mkuu hio ya industrial manufacturing bei ya machine tu za kuendesha kiwanda zinazidi huo mtaji. Kiwanda Cha TAZPACK kipo pale mwandege wanafanya hizo kazi,machine zake ni za bei sanaaa.
Back
Top Bottom