Recent content by Mr nobby

  1. Mr nobby

    Upendo Peneza yuko wapi?

    Hapa mlikuwa wapi mkuu
  2. Mr nobby

    Ingekua wewe ungechagua nini? Kati ya data analysis au programming?

    Achague Programming, Data analysis siku hizi tunatumia AI tu.
  3. Mr nobby

    Mfano mimi ndio baba mkwe wako sasa, hebu nishitakie tabia za mwanangu

    Mzee, Binti Yako atanivunj mgongo mwambie apunguze mauno.
  4. Mr nobby

    Ni kitu gani kilikufanya ugundue rafiki yako sio rafiki yako?

    Washikaji wapiga vizinga sio poa kabisa. Yaan Kuna watu kuomba pesa wanachukuliaga kitu simple sana.
  5. Mr nobby

    KERO Halmashauri ya Jiji la Mbeya rekebisheni mitaro ya maji maeneo ya Kabwe

    Hiyo mbeya ni ya hivo hivo siku zote. Nafkri katika majiji machafu hapa Tz inaweza kuwa nafasi ya pili ikitanguliwa na DSM.
  6. Mr nobby

    Walimu tusisahsu usaili.(History,kswa, English,geog )

    Siku hizi wanachagua masomo kuanzia form one?
  7. Mr nobby

    Hivi umejaribu kuwaza juu ya athari zinazoweza kusababishwa na hivi vita vya Israel, Marekani na Iran?

    Hali ni ngumu, Depot sahiz hazitoi mafuta mengu kama ilivokua zaman. Tafuta watu waliopo Depot watakupa taarifa.
  8. Mr nobby

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Sasa Ile ndug yangu ni sifa ya kutoka moyoni au ni sifa ya kulazimisha ili aonekane yupo update Fulani.
  9. Mr nobby

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Jenister na lukuvi walikua watu wema sana, na ukifatilia vizuri hata majukwani ni watu ambao wakati wa kumsifia Queen Elizabeth wa 2 walionekana sifa zao hazitoki moyoni Bali zilitoka mdomoni tu. Hata hao akiina MAUZI na mshikaji wake aliekuaga MC enzi za Kampein za jiwe msifkrie wanasaport...
  10. Mr nobby

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Nyie SiSiEmu kwakweli mtamalizana. Wengi wanajua vita ni serikali na CDM. Vita ipo humo humo ndani. Kwahiyo sahizi tutalajie kila mwezi kuanguka senior mmoja. Sie tupo.
Back
Top Bottom