Recent content by Mr nobby

  1. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kuna Kundi la Utoro Bungeni, Waliokwenda Morocco bila Kibali wachukuliwe hatua

    Kama shuleni hivi
  2. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Kwanini sekta ya Bodaboda isifutwe? Ni kimbilio la waliofeli, wanajazana mochwari na wazalishaji wa wajane mtaani

    Watu mnaleta u serious kwa mtu Ambae sio serious
  3. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Japo Nilikuwa Simkubali Baba Levo Kwa Uchawa Compared to ZZK, Leo Nimemsikia Bungeni, Kumbe ni Bonge la Kichwa, ni Akili Kubwa!, Nimememkubali Sana!.

    Mkuu, sisi wote ni timamu sema tu njaa ndio inasababisha uchawa.
  4. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Kwa mliopo katikati ya miji na viunga vyake sana sana DAR, MORO na DODOMA kwa mbali fanyeni aka kautafiti mtaona

    Nafatailia mjadala, watu Wana changia mada kwa weledi wa Hali ya juu sanaa.
  5. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za NIDA Kisongo (Arusha) wamegoma kunihudumia kisa nimevaa suruali, wakati watumishi wao nao wamevaa

    Kama ni za kijinga basi utajijua mwenyewe. Hizo ni ofisi za umma nenda ukiwa smart.
  6. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Teresa ushakuwa platinum member sahiii?
  7. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za NIDA Kisongo (Arusha) wamegoma kunihudumia kisa nimevaa suruali, wakati watumishi wao nao wamevaa

    Suruali gan? Kama sio official bas hairuhusiwi, kama ni jeans imekubana sana hairuhusiwi piaa.
  8. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali kupitia Ajira Portal haiwatendei HAKI watu waliomaliza Chuo

    Uwe unapitia email mapema mkuu, angalau kwa siku mara Moja. Pia ukienda interview yoyote hakikisha unachukua mawasiliano ya wenzio hata wawili haijalishi ni wa kiume au wa kike. Je hao uliowakuta kigamboni uliwauliza walipataje taarifa?
  9. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa chuo umejipangaje baada ya kumaliza Chuo?

    Kwahiyo unajiona umetoa bonge la ujumbe si ndio mwanetu?
  10. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania KERO Baadhi ya vituo vya afya Karagwe ukienda na NHIF usiku hupati huduma, wanataka cash

    Hiyo bima Yako ni ya package gani?
  11. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Upendo Peneza yuko wapi?

    Hapa mlikuwa wapi mkuu
  12. Mr nobby

    JamiiForums Tanzania Ingekua wewe ungechagua nini? Kati ya data analysis au programming?

    Achague Programming, Data analysis siku hizi tunatumia AI tu.
Back
Top Bottom