Jenister na lukuvi walikua watu wema sana, na ukifatilia vizuri hata majukwani ni watu ambao wakati wa kumsifia Queen Elizabeth wa 2 walionekana sifa zao hazitoki moyoni Bali zilitoka mdomoni tu.
Hata hao akiina MAUZI na mshikaji wake aliekuaga MC enzi za Kampein za jiwe msifkrie wanasaport...
Nyie SiSiEmu kwakweli mtamalizana. Wengi wanajua vita ni serikali na CDM. Vita ipo humo humo ndani.
Kwahiyo sahizi tutalajie kila mwezi kuanguka senior mmoja. Sie tupo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.