Recent content by Mr Misifa

  1. Mr Misifa

    Mechi kati ya Liverpool na Genk inarudiwa muda huu Supersport 3

    Wakuu habari za muda huu? Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza kwa ambaye hakubahatika kutazama machi kali na yakuvutia ya Mtanzania Mbwana Ally Samatta inaonyeshwa marudio muda huu kwenye chanel ya supersport3 wale wenye kisimbuzi cha Dstv sjui ni chanel gani nyingine, ila mimi nmeona hio ndiyo...
  2. Mr Misifa

    Siku ya kwanza ya Maulid Kitenge, Edo Kumwembe, Binti Suleiman, Yusuf Mkule na Ahmed Abdalah ndani ya Sports Arena

    Nmecheka. Kwa saut nilipoona hilo neno bhange [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Mr Misifa

    Utamshauri nini mfanyabiashara anayeanza kakutana na maneno haya?

    Kumbe na ww umemshtukia ee[emoji848][emoji23][emoji23]
  4. Mr Misifa

    Mitungi ya gesi sasa kuundwa nchini Tanzania

    Hongereni sana kwa hatua hiyo mzuri
  5. Mr Misifa

    Attention: Apps zifuatazo ni hatari zaidi kwa uhai smartphone yako

    Sawa mkuu tu nasubir hilo somo la orodha ya apps zinakula sana betri na mb
  6. Mr Misifa

    Vodacom msijisahau, kuweni washindani

    Itabdi waifanyie kazi aisee maana mtu mwingine anakuwa na uwezo wa kufanya hatar kweny cm yangu
  7. Mr Misifa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu now halotel kuna elf 10 pia Royal bando, mpango. Mzima, nk
  8. Mr Misifa

    Ushauri kuhusu Infinix Hot S4 na Samsung A10, ninunue ipi?

    Hamna mkuu nmeiona na nmeiuliza bei yake ukiwa na 330k unakuja nayo kama huamini nipe nikakuchukulie
  9. Mr Misifa

    Ushauri kuhusu Infinix Hot S4 na Samsung A10, ninunue ipi?

    Haya hamna kitu onakula chaji sana haitunzi
  10. Mr Misifa

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Asante sana ikitoka mnijuze ila nongetamani unisaidie nijue hiyo ulosema potrait ndo mavitu gani hayo aisee[emoji848][emoji848]
  11. Mr Misifa

    Bei ya Spark 4

    L8,c8,m7, k9+, infinix note 4 pro nk angalau hizo mtk mpya mpya za ki sasa zina unafuu sana ila za kizamani hamna kitu
  12. Mr Misifa

    Bei ya Spark 4

    Ni kweli usemayo ila mimi nmekuambia hata simu itengenezwe na nani iwe Samsung au iPhone ikiwa katumia cheapest ya mtk sinunui labda nipewe buree
  13. Mr Misifa

    Bei ya Spark 4

    Hata mimi mkuuu mtk sigusi labda nipewe buree
Back
Top Bottom