Recent content by MR MD BONIFACE

  1. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Mkopo unanitesa sana, si jambo rahisi kama wengi wanavyofikiria

    yani kitu cha kwanza haupo serious ,ni kama unaenda hospital halafu unataka upewe dawa bila ya pimwa , kwanza kama una akili timamu sema nilifanya kitu fulani, ukienda site za wazungu watu wanakutana na changamoto ila wanafunguka uhalisia so ndoo wanapata input nzuri, stanbic bank walienda...
  2. M

    JamiiForums Tanzania life inataka uwe as cooperate business.

    life inataka uishi as cooperate , ukijifanya as individual lazima ufeli vibaya sana . mafanikio lazima ujue how cooperate life ikoje . hata ukija katika mahusiano napo rules ni hiyo hiyo. ukienda alipo legend mwenyewe lucifer nako ni hivyo . ukienda kwa mwenye mamlaka ya mwisho nako ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya kuuza na kununua madeni ya mikopo ya Watumishi katika mfumo wa ESS, iruhusiwe

    inawezekana wala sio shida hata kidogo tatizo sio serikali au bank . tatizo sio wateja ila changamoto ni hakuna mfumo unaoweza fanya ajali zisitokeee. mtoa mada hakuna engineer anauza ramani bure njoo ulipie we sort out things
  4. M

    JamiiForums Tanzania THE FOUR PEOPLE WHO CAN HELP YOU GET A JOB — AND THE ONE WHO HELPS YOU AVOID THE WRONG ONE

    1. CAREER COACH Element Description Primary Focus The Driver (You) What They Assess Your skills, experience, interview performance, and career direction. What They May Not Assess The internal health of the company itself. What They Often Miss Hidden employee turnover, internal distrust...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wazungu vs watu weusi in social media

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi watu weusi especially tunavyotumia social social media na wenzetu . hilo group lipo USA na angalia post za mtu anatka msaada anavyoandika jamii forum. wazungu sio kama wana akili sana ila community zao zinafanya mtu anajua kujielezea na fanya watu waweze...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Meta wapo kazini muda wote

    Meta muda wote wana process data hawalali , watumishi wa umma bado unasikilizia muamala tuuh hadi lini , ninaona post za walimu kama wote na nyingi sana . Mi yangu mawili amua uwe na boss zaidi ya mmoja au endelea toa comment hapa jamii forum na mbaya zaidi boss wako haendeshwi kwa comment .
  7. M

    JamiiForums Tanzania kelele na hakuna flow nzuri

    message nzuri ila ina a lot engineering error , iko shallow marketing but in engineering sense it is chaos hakuna good logic flow https://www.jamiiforums.com/threads/wanachuo-vijana-msio-na-kazi-unaweza-pata-5000-20-00-kwa-siku-kutumia-ai.2367566/
  8. M

    JamiiForums Tanzania kelele

    hii ni kelele , weka hata bei, location https://www.jamiiforums.com/threads/fast-food-kwa-wafanyakazi-wa-maofisini-dar-es-salaam-karibuni-sana.2453387/ jamii forum inapoteza pesa kijinga title ya Expert Member inabidi watu walipie pie watu wanaweza rated by star baada hata jamii forum waanza...
  9. M

    JamiiForums Tanzania kelele hakuna easy flow hata layman au mtu uko limited time uelewe ,

    ujumbe umejificha kwa kelele nyingi hakuna flow nzuri , mtu rahisi sahau kwa ajili ya kelele Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka post ni ndefu balaaaaa
  10. M

    JamiiForums Tanzania kelele ya kweli

    ni kweli inatokea sababu bank haina engineering people wanaweza detect wizi ukitokea. CRDB iko overloaded sana , staff wako na massive client ku handle na wako na burn out kubwa sana . miundo mbinu hakuwa design handle huge traffic katika categories tofauti. ni fursa kwa skilled people deal na...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimepata mpinzani kwenye biashara yangu mbinu gani niitumie kumu-overcome

    acha SUMBUA watu umejenga nyumba halafu mlango wa ingia kwako haupo au hauonekani ili hata nyumba yako ikiwa na shida watu waje saidia . tatizo sio mpinzani kwanza acha piga kelele toa taarifa haifanyi mtu ajiulize maswali hayana kichwa wala miguu ambayo yanaweza kutokusaidia.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata soko la ngozi za ngombe kwa hapa nchini hata nje ya nchi

    kwa dar wanunuaji ni wachina wanapeleka kwao , pembe, vitu kibao wanachukua, ukitembelea machinjio yeyote lazima watakupa connection muda wako kwenda tuuh.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata soko la ngozi za ngombe kwa hapa nchini hata nje ya nchi

    ndoo unaanza biashara au tayari umefanya biashara. detail inategemeana na hilo jibu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nimepata mpinzani kwenye biashara yangu mbinu gani niitumie kumu-overcome

    at least hata utoe vitu kwa uhalisia biashara gani hasa , why jamii forum watu wengi sana hawajui kujielezea vizuri
Back
Top Bottom