Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,773
- 3,525
Natafuta kijana mwenye uwezo wa kutumia AI vizuri haswa kwenye interior design za majengo.
Kama upo na ujuzi huo nitafute tufanye kazi
Kazi ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri ukiwa Dar es salaam kama upo mkoani utanijulisha pia tuone tunafanyaje kazi.
Kazi itakuwa na mshahara wa kila mwezi na bonuses nyengine nyingi
Kama upo na ujuzi huo nitafute tufanye kazi
Kazi ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri ukiwa Dar es salaam kama upo mkoani utanijulisha pia tuone tunafanyaje kazi.
Kazi itakuwa na mshahara wa kila mwezi na bonuses nyengine nyingi