Point yangu ni kwamba now tunajua vyama pinzani asilimia kubwa hawana permanent office, hawana magari ya kutosha hawana vitegea uchumi kama ccm xo hivyo wanaweza establish vp
Tanzania kwanza, CCM inafuata
CHADEMA c rahisi kupewa nchi na c CHADEMA tu chama chochote pinzani c rahisi kukabidhiwa inchi coz vyama pinzani havina strong resources za kuweza kuongoza nchi zaidi wakiingia madarakani waanze kujijenga wao kwanza ndipo waje wafikirie wananchi that isn't possible
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.