Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 701
- 747
Numekuelewa kuliko ulivyo andika 🙏🙏
Exactly."Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).
"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)
"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest man in the world).
Mwalimu wangu wa chuo aliwahi kuniambia kuwa, "mstari unaomtenganisha maskini na tajiri ni mwembamba sana, kwa hiyo ni rahisi sana kuwa tajiri pia ni rahisi sana kuwa maskini". Mpaka leo sijaelewa alimaanisha nini.
Watu wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali za maisha, kwenye uongozi, biashara, kilimo, elimu, siasa, michezo, uandishi, muziki, afya, imani, utangazaji, nk huwa hawana hizi tabia 9 nilizokuandalia leo, kwa hiyo kama una kiu ya mafanikio kwa hicho unachopambania, achana na haya mambo 9 yafuatayo;
1. KUTOKUJARIBU.
Katika kutafuta mafanikio huwa kuna vitu viwili tu vya kuchagua. Tambua kuwa maisha ni vita. Chagua kufa, au kupambana. Siogopi kufa, naogopa kutokujaribu. Hakuna alie zaliwa anajua, jiamini, jaribu utafanikiwa.
2. KUTOKUJIFUNZA.
Che Guava mpaka anafariki library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 2000, mwenzangu na Mimi sijui hata kama una Biblia au Quran ghetoni kwako. Nkwameh Nkrumah library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 3000, Obama anakuambia kila akiamka asbuhi lazima asome kitu kipya. "JOSEPH=Jifunze, Ona, Soma, Elimika, Pitia, Hamasika.
3. WOGA & WASIWASI.
Tunaweza tukamsamehe mtoto anayeogopa gizani, lakini sio mtu mzima anaeogopa mchana. Kitu cha kuogopa katika maisha ni woga wenyewe. Kama hujiamini hutakuja kuwa mshindi katika jambo lolote. Fanya hicho unachofikiria kukifanya kwa moyo wa dhati, kama unaamini ni cha halali na kina manufaa kwako na familia yako, na jamii nzima. Acha tabia ya kuogopa kitu ambacho hakijatokea.
4. KUJILINGANISHA
Kuna baadhi ya watu, huwa wangetamani kuwa kama watu Fulani. Kuwa wewe pia jiamini. Usitamani kuwa Magufuli, Kassim Majaliwa au Paul Makonda. Kila mtu ni wa pekee na maalumu. Jikubali kwanza halafu wengine ndo watakukubali wewe. Weka nguvu kwenye ubora wako na sio kwenye madhaifu yako. Ukijilinganisha sana utakosa furaha ya nafsi katika maisha yako yote.
5. KUWEKA VINYONGO.
Kuweka chuki na konyongo moyoni ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa mtu mwingine. Onesha upendo, sambaza upendo, hayo ndo mafanikio ya kweli.
6. UONGO
Uongo utakupa ushindi wa siku moja, ukweli utaishi milele. Muongo hata akiongea ukweli usimuamini. Ukiwa muongo huwezi kufanikiwa hata siku moja. Unaweza ukawadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya watu wote, wakati wote. Ukweli kama jua, katika safari ya mafanikio huwezi kuvificha.
7. UVIVU & UZEMBE
Nyumba yenye njaa ukisizi unapata zero. Mafanikio huja kwa kupenda unachokifanya. Neno "kazi" katika Biblia limeandikwa mara 600. Dangote analala masaa machache tu kila siku, Mohammed Dewj anaamka saa 11 asubuhi kila siku. We kwepa majukumu tu, kesho utakula magodoro. Uvivu unalipa muda huu, bidii & juhudi vinalipa baadae.
8. STAREHE & ANASA KUPINDUKIA
Pombe, sigara, ngono, unga, bange, shisha, cocaine, nk vitu vibaya sana. Ni ngumu sana kufikia mafanikio makubwa kama una tabia kama hizi. Sisi ni kile tunachokula. Mafanikio ya kwanza huanzia kwenye afya yako. Afya ni utajiri. Pia starehe hupoteza muda sana. Mavuno ya uzee, ni swaga za ujana, kwahiyo ukila ujana kumbuka kula kiungwana
9. LAWAMA & UMBEA
Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria hujadili kuhusu mawazo; wale wa uwezo wa kati hujadili kuhusu matukio na wale wenye uwezo wa chini hujadili kuhusu watu. Wewe upo kwenye kundi gani? Bora ukawa kundi la kati kuliko hilo la chini kabisa, hilo ni la wachawi. Tusilalamike, tupambane, lawama hazisaidii chochote.
Ukiweka malengo yako vizuri na ukaacha hizo tabia hapo juu muda si mrefu utazifikia ndoto zako.
Mwenyezi Mungu tupe maarifa daima.
"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).
"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)
"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest man in the world).
Mwalimu wangu wa chuo aliwahi kuniambia kuwa, "mstari unaomtenganisha maskini na tajiri ni mwembamba sana, kwa hiyo ni rahisi sana kuwa tajiri pia ni rahisi sana kuwa maskini". Mpaka leo sijaelewa alimaanisha nini.
Watu wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali za maisha, kwenye uongozi, biashara, kilimo, elimu, siasa, michezo, uandishi, muziki, afya, imani, utangazaji, nk huwa hawana hizi tabia 9 nilizokuandalia leo, kwa hiyo kama una kiu ya mafanikio kwa hicho unachopambania, achana na haya mambo 9 yafuatayo;
1. KUTOKUJARIBU.
Katika kutafuta mafanikio huwa kuna vitu viwili tu vya kuchagua. Tambua kuwa maisha ni vita. Chagua kufa, au kupambana. Siogopi kufa, naogopa kutokujaribu. Hakuna alie zaliwa anajua, jiamini, jaribu utafanikiwa.
2. KUTOKUJIFUNZA.
Che Guava mpaka anafariki library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 2000, mwenzangu na Mimi sijui hata kama una Biblia au Quran ghetoni kwako. Nkwameh Nkrumah library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 3000, Obama anakuambia kila akiamka asbuhi lazima asome kitu kipya. "JOSEPH=Jifunze, Ona, Soma, Elimika, Pitia, Hamasika.
3. WOGA & WASIWASI.
Tunaweza tukamsamehe mtoto anayeogopa gizani, lakini sio mtu mzima anaeogopa mchana. Kitu cha kuogopa katika maisha ni woga wenyewe. Kama hujiamini hutakuja kuwa mshindi katika jambo lolote. Fanya hicho unachofikiria kukifanya kwa moyo wa dhati, kama unaamini ni cha halali na kina manufaa kwako na familia yako, na jamii nzima. Acha tabia ya kuogopa kitu ambacho hakijatokea.
4. KUJILINGANISHA
Kuna baadhi ya watu, huwa wangetamani kuwa kama watu Fulani. Kuwa wewe pia jiamini. Usitamani kuwa Magufuli, Kassim Majaliwa au Paul Makonda. Kila mtu ni wa pekee na maalumu. Jikubali kwanza halafu wengine ndo watakukubali wewe. Weka nguvu kwenye ubora wako na sio kwenye madhaifu yako. Ukijilinganisha sana utakosa furaha ya nafsi katika maisha yako yote.
5. KUWEKA VINYONGO.
Kuweka chuki na konyongo moyoni ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa mtu mwingine. Onesha upendo, sambaza upendo, hayo ndo mafanikio ya kweli.
6. UONGO
Uongo utakupa ushindi wa siku moja, ukweli utaishi milele. Muongo hata akiongea ukweli usimuamini. Ukiwa muongo huwezi kufanikiwa hata siku moja. Unaweza ukawadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya watu wote, wakati wote. Ukweli kama jua, katika safari ya mafanikio huwezi kuvificha.
7. UVIVU & UZEMBE
Nyumba yenye njaa ukisizi unapata zero. Mafanikio huja kwa kupenda unachokifanya. Neno "kazi" katika Biblia limeandikwa mara 600. Dangote analala masaa machache tu kila siku, Mohammed Dewj anaamka saa 11 asubuhi kila siku. We kwepa majukumu tu, kesho utakula magodoro. Uvivu unalipa muda huu, bidii & juhudi vinalipa baadae.
8. STAREHE & ANASA KUPINDUKIA
Pombe, sigara, ngono, unga, bange, shisha, cocaine, nk vitu vibaya sana. Ni ngumu sana kufikia mafanikio makubwa kama una tabia kama hizi. Sisi ni kile tunachokula. Mafanikio ya kwanza huanzia kwenye afya yako. Afya ni utajiri. Pia starehe hupoteza muda sana. Mavuno ya uzee, ni swaga za ujana, kwahiyo ukila ujana kumbuka kula kiungwana
9. LAWAMA & UMBEA
Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria hujadili kuhusu mawazo; wale wa uwezo wa kati hujadili kuhusu matukio na wale wenye uwezo wa chini hujadili kuhusu watu. Wewe upo kwenye kundi gani? Bora ukawa kundi la kati kuliko hilo la chini kabisa, hilo ni la wachawi. Tusilalamike, tupambane, lawama hazisaidii chochote.
Ukiweka malengo yako vizuri na ukaacha hizo tabia hapo juu muda si mrefu utazifikia ndoto zako.
Mwenyezi Mungu tupe maarifa daima.
Hahaha daahMkuu kuna rafiki anaitwa Meraki keshakiri huko kuwa hawezi kuacha coz wanawake watamu sana haha
Dunia haishi vitimbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu kwa uzi saf"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).
"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)
"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest man in the world).
Mwalimu wangu wa chuo aliwahi kuniambia kuwa, "mstari unaomtenganisha maskini na tajiri ni mwembamba sana, kwa hiyo ni rahisi sana kuwa tajiri pia ni rahisi sana kuwa maskini". Mpaka leo sijaelewa alimaanisha nini.
Watu wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali za maisha, kwenye uongozi, biashara, kilimo, elimu, siasa, michezo, uandishi, muziki, afya, imani, utangazaji, nk huwa hawana hizi tabia 9 nilizokuandalia leo, kwa hiyo kama una kiu ya mafanikio kwa hicho unachopambania, achana na haya mambo 9 yafuatayo;
1. KUTOKUJARIBU.
Katika kutafuta mafanikio huwa kuna vitu viwili tu vya kuchagua. Tambua kuwa maisha ni vita. Chagua kufa, au kupambana. Siogopi kufa, naogopa kutokujaribu. Hakuna alie zaliwa anajua, jiamini, jaribu utafanikiwa.
2. KUTOKUJIFUNZA.
Che Guava mpaka anafariki library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 2000, mwenzangu na Mimi sijui hata kama una Biblia au Quran ghetoni kwako. Nkwameh Nkrumah library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 3000, Obama anakuambia kila akiamka asbuhi lazima asome kitu kipya. "JOSEPH=Jifunze, Ona, Soma, Elimika, Pitia, Hamasika.
3. WOGA & WASIWASI.
Tunaweza tukamsamehe mtoto anayeogopa gizani, lakini sio mtu mzima anaeogopa mchana. Kitu cha kuogopa katika maisha ni woga wenyewe. Kama hujiamini hutakuja kuwa mshindi katika jambo lolote. Fanya hicho unachofikiria kukifanya kwa moyo wa dhati, kama unaamini ni cha halali na kina manufaa kwako na familia yako, na jamii nzima. Acha tabia ya kuogopa kitu ambacho hakijatokea.
4. KUJILINGANISHA
Kuna baadhi ya watu, huwa wangetamani kuwa kama watu Fulani. Kuwa wewe pia jiamini. Usitamani kuwa Magufuli, Kassim Majaliwa au Paul Makonda. Kila mtu ni wa pekee na maalumu. Jikubali kwanza halafu wengine ndo watakukubali wewe. Weka nguvu kwenye ubora wako na sio kwenye madhaifu yako. Ukijilinganisha sana utakosa furaha ya nafsi katika maisha yako yote.
5. KUWEKA VINYONGO.
Kuweka chuki na konyongo moyoni ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa mtu mwingine. Onesha upendo, sambaza upendo, hayo ndo mafanikio ya kweli.
6. UONGO
Uongo utakupa ushindi wa siku moja, ukweli utaishi milele. Muongo hata akiongea ukweli usimuamini. Ukiwa muongo huwezi kufanikiwa hata siku moja. Unaweza ukawadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya watu wote, wakati wote. Ukweli kama jua, katika safari ya mafanikio huwezi kuvificha.
7. UVIVU & UZEMBE
Nyumba yenye njaa ukisizi unapata zero. Mafanikio huja kwa kupenda unachokifanya. Neno "kazi" katika Biblia limeandikwa mara 600. Dangote analala masaa machache tu kila siku, Mohammed Dewj anaamka saa 11 asubuhi kila siku. We kwepa majukumu tu, kesho utakula magodoro. Uvivu unalipa muda huu, bidii & juhudi vinalipa baadae.
8. STAREHE & ANASA KUPINDUKIA
Pombe, sigara, ngono, unga, bange, shisha, cocaine, nk vitu vibaya sana. Ni ngumu sana kufikia mafanikio makubwa kama una tabia kama hizi. Sisi ni kile tunachokula. Mafanikio ya kwanza huanzia kwenye afya yako. Afya ni utajiri. Pia starehe hupoteza muda sana. Mavuno ya uzee, ni swaga za ujana, kwahiyo ukila ujana kumbuka kula kiungwana
9. LAWAMA & UMBEA
Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria hujadili kuhusu mawazo; wale wa uwezo wa kati hujadili kuhusu matukio na wale wenye uwezo wa chini hujadili kuhusu watu. Wewe upo kwenye kundi gani? Bora ukawa kundi la kati kuliko hilo la chini kabisa, hilo ni la wachawi. Tusilalamike, tupambane, lawama hazisaidii chochote.
Ukiweka malengo yako vizuri na ukaacha hizo tabia hapo juu muda si mrefu utazifikia ndoto zako.
Mwenyezi Mungu tupe maarifa daima.
Mkuu hizi ni theory tu hazina reality. Utajiri au umasikini ni fursa. Unaweza kukaza kama ushauri wako unavyosema na ukawa masikini tu."Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).
"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)
"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest man in the world).
Mwalimu wangu wa chuo aliwahi kuniambia kuwa, "mstari unaomtenganisha maskini na tajiri ni mwembamba sana, kwa hiyo ni rahisi sana kuwa tajiri pia ni rahisi sana kuwa maskini". Mpaka leo sijaelewa alimaanisha nini.
Watu wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali za maisha, kwenye uongozi, biashara, kilimo, elimu, siasa, michezo, uandishi, muziki, afya, imani, utangazaji, nk huwa hawana hizi tabia 9 nilizokuandalia leo, kwa hiyo kama una kiu ya mafanikio kwa hicho unachopambania, achana na haya mambo 9 yafuatayo;
1. KUTOKUJARIBU.
Katika kutafuta mafanikio huwa kuna vitu viwili tu vya kuchagua. Tambua kuwa maisha ni vita. Chagua kufa, au kupambana. Siogopi kufa, naogopa kutokujaribu. Hakuna alie zaliwa anajua, jiamini, jaribu utafanikiwa.
2. KUTOKUJIFUNZA.
Che Guava mpaka anafariki library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 2000, mwenzangu na Mimi sijui hata kama una Biblia au Quran ghetoni kwako. Nkwameh Nkrumah library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 3000, Obama anakuambia kila akiamka asbuhi lazima asome kitu kipya. "JOSEPH=Jifunze, Ona, Soma, Elimika, Pitia, Hamasika.
3. WOGA & WASIWASI.
Tunaweza tukamsamehe mtoto anayeogopa gizani, lakini sio mtu mzima anaeogopa mchana. Kitu cha kuogopa katika maisha ni woga wenyewe. Kama hujiamini hutakuja kuwa mshindi katika jambo lolote. Fanya hicho unachofikiria kukifanya kwa moyo wa dhati, kama unaamini ni cha halali na kina manufaa kwako na familia yako, na jamii nzima. Acha tabia ya kuogopa kitu ambacho hakijatokea.
4. KUJILINGANISHA
Kuna baadhi ya watu, huwa wangetamani kuwa kama watu Fulani. Kuwa wewe pia jiamini. Usitamani kuwa Magufuli, Kassim Majaliwa au Paul Makonda. Kila mtu ni wa pekee na maalumu. Jikubali kwanza halafu wengine ndo watakukubali wewe. Weka nguvu kwenye ubora wako na sio kwenye madhaifu yako. Ukijilinganisha sana utakosa furaha ya nafsi katika maisha yako yote.
5. KUWEKA VINYONGO.
Kuweka chuki na konyongo moyoni ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa mtu mwingine. Onesha upendo, sambaza upendo, hayo ndo mafanikio ya kweli.
6. UONGO
Uongo utakupa ushindi wa siku moja, ukweli utaishi milele. Muongo hata akiongea ukweli usimuamini. Ukiwa muongo huwezi kufanikiwa hata siku moja. Unaweza ukawadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya watu wote, wakati wote. Ukweli kama jua, katika safari ya mafanikio huwezi kuvificha.
7. UVIVU & UZEMBE
Nyumba yenye njaa ukisizi unapata zero. Mafanikio huja kwa kupenda unachokifanya. Neno "kazi" katika Biblia limeandikwa mara 600. Dangote analala masaa machache tu kila siku, Mohammed Dewj anaamka saa 11 asubuhi kila siku. We kwepa majukumu tu, kesho utakula magodoro. Uvivu unalipa muda huu, bidii & juhudi vinalipa baadae.
8. STAREHE & ANASA KUPINDUKIA
Pombe, sigara, ngono, unga, bange, shisha, cocaine, nk vitu vibaya sana. Ni ngumu sana kufikia mafanikio makubwa kama una tabia kama hizi. Sisi ni kile tunachokula. Mafanikio ya kwanza huanzia kwenye afya yako. Afya ni utajiri. Pia starehe hupoteza muda sana. Mavuno ya uzee, ni swaga za ujana, kwahiyo ukila ujana kumbuka kula kiungwana
9. LAWAMA & UMBEA
Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria hujadili kuhusu mawazo; wale wa uwezo wa kati hujadili kuhusu matukio na wale wenye uwezo wa chini hujadili kuhusu watu. Wewe upo kwenye kundi gani? Bora ukawa kundi la kati kuliko hilo la chini kabisa, hilo ni la wachawi. Tusilalamike, tupambane, lawama hazisaidii chochote.
Ukiweka malengo yako vizuri na ukaacha hizo tabia hapo juu muda si mrefu utazifikia ndoto zako.
Mwenyezi Mungu tupe maarifa daima.
Ujumbe mzuri mkuu,barikiwa"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P)
"Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si kila mtu yuko tayari kushika majukumu na wajibu wa kumpeleka kwenye mafanikio"(Mwl Nyerere, R.I.P).
"Kile unahokifanya muda huu ndicho kinachoashiria na kutoa picha kamili ya baadae yako"(Mahatma Gandhi, R.I.P)
"Ukizaliwa maskini sio kosa lako, ila ukifa maskini hilo ni kosa"(Bill Gate, The richest man in the world).
Mwalimu wangu wa chuo aliwahi kuniambia kuwa, "mstari unaomtenganisha maskini na tajiri ni mwembamba sana, kwa hiyo ni rahisi sana kuwa tajiri pia ni rahisi sana kuwa maskini". Mpaka leo sijaelewa alimaanisha nini.
Watu wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali za maisha, kwenye uongozi, biashara, kilimo, elimu, siasa, michezo, uandishi, muziki, afya, imani, utangazaji, nk huwa hawana hizi tabia 9 nilizokuandalia leo, kwa hiyo kama una kiu ya mafanikio kwa hicho unachopambania, achana na haya mambo 9 yafuatayo;
1. KUTOKUJARIBU.
Katika kutafuta mafanikio huwa kuna vitu viwili tu vya kuchagua. Tambua kuwa maisha ni vita. Chagua kufa, au kupambana. Siogopi kufa, naogopa kutokujaribu. Hakuna alie zaliwa anajua, jiamini, jaribu utafanikiwa.
2. KUTOKUJIFUNZA.
Che Guava mpaka anafariki library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 2000, mwenzangu na Mimi sijui hata kama una Biblia au Quran ghetoni kwako. Nkwameh Nkrumah library yake ilikuwa na vitabu zaidi ya 3000, Obama anakuambia kila akiamka asbuhi lazima asome kitu kipya. "JOSEPH=Jifunze, Ona, Soma, Elimika, Pitia, Hamasika.
3. WOGA & WASIWASI.
Tunaweza tukamsamehe mtoto anayeogopa gizani, lakini sio mtu mzima anaeogopa mchana. Kitu cha kuogopa katika maisha ni woga wenyewe. Kama hujiamini hutakuja kuwa mshindi katika jambo lolote. Fanya hicho unachofikiria kukifanya kwa moyo wa dhati, kama unaamini ni cha halali na kina manufaa kwako na familia yako, na jamii nzima. Acha tabia ya kuogopa kitu ambacho hakijatokea.
4. KUJILINGANISHA
Kuna baadhi ya watu, huwa wangetamani kuwa kama watu Fulani. Kuwa wewe pia jiamini. Usitamani kuwa Magufuli, Kassim Majaliwa au Paul Makonda. Kila mtu ni wa pekee na maalumu. Jikubali kwanza halafu wengine ndo watakukubali wewe. Weka nguvu kwenye ubora wako na sio kwenye madhaifu yako. Ukijilinganisha sana utakosa furaha ya nafsi katika maisha yako yote.
5. KUWEKA VINYONGO.
Kuweka chuki na konyongo moyoni ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa mtu mwingine. Onesha upendo, sambaza upendo, hayo ndo mafanikio ya kweli.
6. UONGO
Uongo utakupa ushindi wa siku moja, ukweli utaishi milele. Muongo hata akiongea ukweli usimuamini. Ukiwa muongo huwezi kufanikiwa hata siku moja. Unaweza ukawadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya watu wote, wakati wote. Ukweli kama jua, katika safari ya mafanikio huwezi kuvificha.
7. UVIVU & UZEMBE
Nyumba yenye njaa ukisizi unapata zero. Mafanikio huja kwa kupenda unachokifanya. Neno "kazi" katika Biblia limeandikwa mara 600. Dangote analala masaa machache tu kila siku, Mohammed Dewj anaamka saa 11 asubuhi kila siku. We kwepa majukumu tu, kesho utakula magodoro. Uvivu unalipa muda huu, bidii & juhudi vinalipa baadae.
8. STAREHE & ANASA KUPINDUKIA
Pombe, sigara, ngono, unga, bange, shisha, cocaine, nk vitu vibaya sana. Ni ngumu sana kufikia mafanikio makubwa kama una tabia kama hizi. Sisi ni kile tunachokula. Mafanikio ya kwanza huanzia kwenye afya yako. Afya ni utajiri. Pia starehe hupoteza muda sana. Mavuno ya uzee, ni swaga za ujana, kwahiyo ukila ujana kumbuka kula kiungwana
9. LAWAMA & UMBEA
Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria hujadili kuhusu mawazo; wale wa uwezo wa kati hujadili kuhusu matukio na wale wenye uwezo wa chini hujadili kuhusu watu. Wewe upo kwenye kundi gani? Bora ukawa kundi la kati kuliko hilo la chini kabisa, hilo ni la wachawi. Tusilalamike, tupambane, lawama hazisaidii chochote.
Ukiweka malengo yako vizuri na ukaacha hizo tabia hapo juu muda si mrefu utazifikia ndoto zako.
Mwenyezi Mungu tupe maarifa daima.
Tofautisha making and spending hawk matajiri inamaana washa make hapo wanafanya spending, haina maana kwamba umake tu maisha yako yote bila spenda.Mkuu maisha hayana formula kuna matajiri wanakula bata la kufa mtu na utahir wao unaendelea kama kawa na kuna masikini kibao ni wakweli hawana umbea wala lawama hawaweki vinyongo nk so mm naona hizo theory zako haziwez kuapply kwa watu tofauti tofauti
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uzi wangu bora tangu nijiunge niule unaosema niulize cjochote kuhusu ujasiriamali na mafanikio cccONTARIOKwa upanda wangu huu ndo uzi bora tangu nijiunge JF.
ila maajabu ya karne nyuzi kama hizi hazina wachangiaji wengi kama zile zinazozungumzia zinaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajiyokeaje mfano nakati ujafa bado una apply izo formular mrejesho na mfano wako not validity.Mkuu hizi ni theory tu hazina reality. Utajiri au umasikini ni fursa. Unaweza kukaza kama ushauri wako unavyosema na ukawa masikini tu.
Mfano mimi nina ndoto za kuwa tajiri miaka mingi sana, na nina tabia zote njema hapo juu, lakini siwi tajiri, naishia kuwa mtu wa kawaida tu japo kanyumba na kirikuu. Tatizo fursa baba,
Sent using Jamii Forums mobile app