kwasabab wakristo wanajua dini sahihi ni uislam ila wanajilipua tuu
Yesu aliingia kwa masinagogi (misikit)
Yesu alipiga magot akasujudu
Yesu vazi lake ni kanzu
Yesu alifunga
Je wanaofanya hivyo hapo juu ni akina nan?? Kama ni waislam iweje wao wamuite kristo?
Nitaondoka kisha atakuja wa...
Binafsi sijawah kuamin Mo ameajir au amewekeza kuliko BAKHRESA
Kwa hapa nahitaj mtu makin anifafanulie
Huyu mo nahisi ni mjanja flan ivi anaetumia akili na media like fobes n.k kutuaminisha ana pesa
Biblia Sio kitabu cha mungu Ndio maana kimeshindwa kuwaweka waumin wake pamoja na kimekuwa rahisi kuchakachulika
Mi kitabu kilichotungwa na watu kwa utashi wao na matakwa binafsi
Quran inabaki kuwa kitabu cha kipekee na cha muongozo kwa ulimwengu mzima ndo maana kimebaki kama kilivyo toka...
Mungu akuumbe wewe alafu akuache umsulubu msalabani mpaka afe!!!!
Nonsense
Yesu alipiga magoti na kuomba je alikuwa anamupmba nani??
Moja ya maneno yake
Eeh mungu wasamehe hawa hawajui walitendalo
Ni mungu yupi huyo alikuwa anamuomba
Ni akili tuu yakutumia wala hakuhitaj tochi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.