Anatumbuliwa kwa nafasi aliyoteuliwa tu na kurudishwa kwenye ajira yake ya awali alikotolewa mwanzo.
Kuhusu mshahara anabaki na rank ya mshahara aliyokuwa amefikia katika utumishi wa umma kama kutumbuliwa kwake hakutahusisha kushushwa mshahara.
Kuhusu kusema ni safi sana! Ndugu sio safi hata...
Kwani hizi fom kila chama kinachapisha ya kwake!? Tutoane tongotongo hapa
Mimi fikira zangu nilidhani kwasababu anatafutwa Rais wa nchi bila kujali atakuwa wa chama gani hivyo na form inakuwa ya aina moja kwa vyama vyote
Marehemu Ruge alikuwa talented sana kuna vitu alikuwa anawaongezea wafanyakazi wake kujibland. Sio kwamba walikuwa wanamuogopa, nadhani walikuwa wanamuheshimu.
Kuhusu wafanyakazi kuhama, huu ni utaratibu wa kawaida. Huwezi kuacha sehemu ya kupata mia 2 ukabaki sehemu ya mia 1 wakati upo kwa...
Amekuwa muungwana kutwambia kwanini ana hasira hasira hasa linapokuja swala la kushughulika na Mbowe na kundi lake
Nilichomsifu amekuwa muwazi mbele yetu na mbele ya familia yake
Naamini Mbowe kwa kukumbuka hali ya Spika ya enzi hizo atamsamehe bure maana waliosema maskini akipata matako hulia...
Kati ya vitu ambavyo Mwl. Nyerere na kina Nkurumah walitakiwa kuanza navyo ni kudai fidia ya ubaya wa wakoloni walioufanya Afrika
Bahati mbaya sana kulikuwa na presha kubwa sana kitu kilichopelekea badala ya sisi kudai fidia, wao wakatuwahi kwa kutoa misaada ya kinafiki kwa mgongo wa kusaidia...
Sote tunafahamu kwamba VETA ni sehemu sahihi ya watu kuendeleza au kuibua vipaji vyao katika fani mbalimbali.
Ni bahati mbaya sana VETA haipewi kipaumbele kiasi kwamba vyuo vingi havinauwezo wa kuchukua wanafunzi wengi kulingana na mahitaji.
Ili kuendena na miundombinu waliyonayo, VETA huwapa...
Tusimlaumu sana Ndugai kama Spika, wakulaumiwa ni mwenyekiti wake anayependa kupewa heshima na kusifiwa muda wote
Rudini nyuma mwanzo mwanzo wakati awamu hii inaanza, ilifikia mahali hadi baadhi ya wabunge wakawa wanatamani vikao viongozwe na Ndugai maana yule bi mdada ni kama alikuja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.