Hao jamaa wamejishushia sana thamani yao wanachoeleza na kitu kilichopo ni vitu viwili tofauti waarabu hata kama hawajachezesha wachezaji wao muhimu bado kwa mechi ya jana walizidiwa africa yote leo gumzo na bingwa wa africa kafungwa tanzania,africa haiulizi wachezaji gani wamecheza ila maestro...
chadema bila zito hakuna lolote lile mnajifanya mmewahi kumbe mpo na baiskeli ya barafu kijua cha asubuhi tu chali,kumzingua zito mmetuvunja moyo sana maana ndie aliekuwa na siasa ya ukweli ya upinzania toka moyoni ,slaa bila kupigwa chini kura ya.maoni ccm hadi leo angekuwa ccm harafu leo ndio...
Shafii mnafiki tu na usimba wake,sheria zenyewe hajui anauliza mambo ya akina drogba kwamba waliishitaki timu na wakabaki katika timu huo ni utaratibu walioutumia wao na sio kila mtu akinyimwa haki zake abaki humo humo,ndio mana kuna wafanyakazi kibao wamewashitaki waajiri wao harafu wakabaki...
Chadema kupitia jf ndio tunajimaliza wenyewe mtu hasomi kitu akaelewa ameisha changia watakuwa ccm kinachoongelewa kingine mtu anachangia kingine na ikumbukwe kwamba ccm na vyama vingine wanajipanga kimkakati sisi tunabaki na sifa ambazo hazina msingi tuwe na mikakati
Sugu kashindwa kabisa wenye fikra ndogo ndio ambao wanaweza kukaa sehemu na kuanza kumsifia mtu kama sugu uchaguzi mwakani ccm hadi leo wanaamini jimbo ni lao kisa huyu mtu atafutwe mtu makini ndani ya chadema nje ya hapo chadema chali mbeya mjini
Kama Sugu anapigwa chini kwa kushindwa kusimamia serkali hadi imefanya madudu yasiyotamkika, hiyo serkali nayo tuifanyeje? Hivi hii serkali dhalimu inayofanya kazi ya kukwamisha maendeleo ya wananchi ni ya chama gani? Na hicho chama kipewe tena dhamana ya kuunda serkali? unasemaje bw ndevu chafu...
Chadema sijui wanatumia akili gani ile mikusanyiko haiwasaidii kitu ndio mana zito huwa hafuatani nao mana hakuna wanachofanya ni ujinga kwa chama ambacho kinahisi kina nguvu kwa sasa kupata asilimia 4 ni aibu kubwa jamani tuangalie ugomvi wetu na zito unamadhara kwa chama tukae tuyamalize mana...
Mwisho wa sugu mbeya ndio huo yeye si rais leo alikuwa wapi kichaa mkubwa yule ameshindwa kufanya chochote ndani ya mbeya bora hata mboto ndio angekuwa mbunge sio sugu
Leo uwanja wa taifa kuna mpambe wa sugu eti kaja na bango mbeya city nchi sugu rais kapigwa sana hatutaki watu wapatie umaarufu kupitia mbeya city sugu ipo siku atatembea uchi ili apate umaarufu apige kazi kama wenzake wakina zito,january makamba,vicent nyerere,mnyika kwani wao wana timu mbona...
Hakuna kitu km hicho nahisi huyu ni bwana Mbuza mwenyewe amekuja na ID tofauti..Sugu bado anakubalika sn...hata ccm wakipeleka bodaboda km Kinana alivyowaahid vijana wa mby esp waendesha bodaboda CCM hawapiti labda wafanye Zengwe
Mbona wewe tunajua ni mke wa mbowe ila umetumia account feki leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.