Wakuu habari zenu.
Natumai mu wazima wa afya, naomba kuuliza juu ya izi tenda za ukusanyaji wa takataka katika mitaa yetu uwa zinatolewa vip?
2. Kwa magari yakukusanyia taka kwa siku ukodishwaji wake uwa ni kiasi gani kwa mtu anayeitaji kukodi gari la taka kutwa nzima ama kwa masaa kazaaa...
Wadau eehh, leo nataka kufahamu ukweli kuhusu awa watu wanaotoa odd kuanzia 200 mpaka odd 400 nakuendelea wanakwambia wanauza mikeka ya correct goal score au HT/FT result au nomo result wanakwambia uwatumie ela then wanakupa iyo mikeka yenye odd nying ambayo ukiweka ata elf 10 tuu unaweza...
Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanakuka mnoo kama mchwa
Mama mkwe naye anataka kukupa mzigo, et mwez wa nne huu hujala mzigo umejua kutuongopea man uko vizur kwa stor
Habari wadau wa jukwaa la biashara,
Leo nahitaji kufahamu bei ya Silver na Gold kwa maduka ya Dar na ni duka gani zuri kwaajili ya kuuza au kununua bidhaa hizo kama vile cheni, pete n.k
Asante
Habari za majukumu ndugu zangu,
Leo nimekuja hapa kwenu kwaajiri ya kuweza kupata ujuzi [structure]na mwenendo mzima wa harusi sana sana ikiwa ni kwenye ku set budget ya harusi kwa kadri ya wa tu 300 mpka 450, naitaji kujua naweza kuwa na budget ya kiasi gani kuweza ku kidhi harusi na sherehe...
Wadau leo nataka kujua mambo kazaa mawili matatu katika Ajira apa Tanzania.
1. Connection ni nini?
2. Connection zinapatikana wapi?
3. Ni nani anastahili kupewa connection na yupi hastahili connection?
4. Share na sisi moja ya connection uliyowai kuishuhudia ama uliyowai kunufaika nao kwa...
Mambo vipi ndugu zangu?
Naomba kujuzwa/kujua ni jinsi gani nitaweza kupata kitambulisho cha Nida Namba ninayo lakini tangu mwezi wa pili wizara ya mambo ya ndan walisitisha huduma ya online copy kwa sababu za kiusalama.
Je, nikitaka kupata kitambulisho changu nitapata kwa wakati nikienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.