Shukrani sana Yusuphu iyo ni bei ya kununulia je kwa mtu anayeuza mali yake ni shngap per gram??Bei za gold & silver huwa zinapanda na kushuka, lkn bei za hivi karibuni kwa gold laki moja 80 kwa g1 na silver alfu 25 hadi 30 kwa g1.View attachment 2010385
Mkuu jiwe la kijani (emaralds or tourmaline)..bei gan gram..Bei za gold & silver huwa zinapanda na kushuka, lkn bei za hivi karibuni kwa gold laki moja 80 kwa g1 na silver alfu 25 hadi 30 kwa g1.View attachment 2010385
Bei za gold & silver huwa zinapanda na kushuka, lkn bei za hivi karibuni kwa gold laki moja 80 kwa g1 na silver alfu 25 hadi 30 kwa g1.