Signature inajieleza mbona.......
1. sababu ya karatasi kufutwa namba na kuandikwa nyingine......!!!!!!!
2. Kura zimeharibika tu Pemba........!!!!!!!!
Kali ya kufungia mwaka.....
Mkuu utakuwa umekosea hasa,kati ya watu waliokataa ufigisu ni Kitambi, alifukuzwa kwa kutumia waandishi wa habari ile picha wakipita porini.....
Hata hao walikuwa wataalamu wametokea huku hakuna aliyezaliwa na kujua kitu bila kujifunza....... dhamini cha kwako.... mcheza kwako hutunzwa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.