Korea mbali sana kes 1 ni sawa na yen 1.15 ya kijapan, sasa utasema. Uchumi wa kenya uko sawa na japani?
Kenya gpd 124.5 billion USD (2024) na japan gpd
5.054 trillion USD (2020)
So exchange rate ya pesa duniani haimaanishi nchi ndio ina uchumi mkubwa
Nina mfano mwingine
Shilingi moja ya...
Nyie hamjui tu uzuri hiyo miji yote nimeishi, Tanga ndio mji unamfaa mtu anae anza maisha, maisha cheap sana tanga jamani, kuanzia makazi, ujenzi, chakula na mambo mengine mfano
Bidhaa nyingi zinaingia toka zenji, ziko cheap, chakula karib kila kitu kinalimwa tanga usambaani huko, viwanja, aisee...
Liberia haikutawaliwa na marekani haijawahi tawala nchi yoyote ila liberia ni nchi iliyoundwa na wamarekani weusi walio kuwa utumwani america na kuamua kurudi nyumbani africa
Mtoa mada huwezi sasa hivi kuelezea Chinese suv bila kuitaja Byd Yangwang U8, wachina wenyewe wanaitumia kama brand ya nchi kwa sasa hata bei yake ni mkasi, bei ya kununua tu ni zaidi 150,000usd
Ni cheapest kuliko nchi zingine ya umoja wa ulaya but sio cheap kuliko kwetu tz, kumuona dr kule ni euro 23, wakati bongo ni kuanzia 1000 ambayo ni sawa na euro 0.35, kwetu siasa imeingia kwa afya ndio maana sekta haikui, afya ni bidhaa ghali zaidi duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.