Dah mzee huyu mbaguzi mno, tena wa wazi wazi kabisa, anyway Nyerere alikuwa rafiki wa kila mtu, ukitaka tuandike makala za aina hii tutahitaji mwaka na zaidi
Nikusaidie kidogo, Ngamiani ni kituo cha afya sio hospital kama ulivyodai, uzuri umeweka hapo bango pia Kituo cha afya huwa chini ya tamisemi sio wizara ya afya. Address kwenda tamisemi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.