Recent content by Mr DIY

  1. Mr DIY

    Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Unatafuta salafi humu?
  2. Mr DIY

    Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Korea mbali sana kes 1 ni sawa na yen 1.15 ya kijapan, sasa utasema. Uchumi wa kenya uko sawa na japani? Kenya gpd 124.5 billion USD (2024) na japan gpd 5.054 trillion USD (2020) So exchange rate ya pesa duniani haimaanishi nchi ndio ina uchumi mkubwa Nina mfano mwingine Shilingi moja ya...
  3. Mr DIY

    Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Naona hunielewi, thamani ya pesa iko kwenye purchasing power sio amount, hizo exchange rates zipo tu
  4. Mr DIY

    Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Ngoja nikupe comparison nyingine, milioni moja ya kenya ni sawa na million 1 na laki moja ya japan, je hao watu uchumi uko sawa?
  5. Mr DIY

    Kati ya Tanga,kibaha, mbeya, morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?

    Nyie hamjui tu uzuri hiyo miji yote nimeishi, Tanga ndio mji unamfaa mtu anae anza maisha, maisha cheap sana tanga jamani, kuanzia makazi, ujenzi, chakula na mambo mengine mfano Bidhaa nyingi zinaingia toka zenji, ziko cheap, chakula karib kila kitu kinalimwa tanga usambaani huko, viwanja, aisee...
  6. Mr DIY

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://vm.tiktok.com/ZMSK3QotL/ Aibu naona mimi
  7. Mr DIY

    Donald Trump ashangazwa na Kiingereza kizuri cha Rais wa Liberia Joseph Boakai

    Liberia haikutawaliwa na marekani haijawahi tawala nchi yoyote ila liberia ni nchi iliyoundwa na wamarekani weusi walio kuwa utumwani america na kuamua kurudi nyumbani africa
  8. Mr DIY

    SUV kali za kichina hizi hapa

    Byd ana mashine affordable naona hakuna bongo alie kwisha leta any byd
  9. Mr DIY

    SUV kali za kichina hizi hapa

    Mtoa mada huwezi sasa hivi kuelezea Chinese suv bila kuitaja Byd Yangwang U8, wachina wenyewe wanaitumia kama brand ya nchi kwa sasa hata bei yake ni mkasi, bei ya kununua tu ni zaidi 150,000usd
  10. Mr DIY

    SUV kali za kichina hizi hapa

    Achana na hizi, nifanyie makadilio ya byd seagull nione kama naweza jilipua
  11. Mr DIY

    Tanzania ina la kujifunza: Finland hutoa huduma za Afya kwa Ufadhili wa Serikali kwa gharama nafuu au bure kwa Wananchi

    Ni cheapest kuliko nchi zingine ya umoja wa ulaya but sio cheap kuliko kwetu tz, kumuona dr kule ni euro 23, wakati bongo ni kuanzia 1000 ambayo ni sawa na euro 0.35, kwetu siasa imeingia kwa afya ndio maana sekta haikui, afya ni bidhaa ghali zaidi duniani
  12. Mr DIY

    VIDEO: Katika mila za Kalabari, bi harusi hatacheka wala kutabasamu hadi atakaporidhika na kiasi cha pesa anachomwagiwa wakati wa ndoa ya kitamaduni

    Mpaka tunaenda mitamboni bi harusi hakuwana dalili ya kutabasamu..... Nikiripotia rfa matukio mimi ni.....
  13. Mr DIY

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Status sehemu pekee huwa na fake life, sjawah post chochote concerns me au my life, nnachopost pale huwa uwongo tupu
Back
Top Bottom