Recent content by Mr DIY

  1. Mr DIY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Na akuroge kabisa uwe zezeta, maana bodaboda nyie ni wataalamu kuingilia mahusiano ya watu, mnajiona mnazo sana
  2. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2021 TATA NEXON ILINUNULIWA 0KM IKO SOKONI

    Uzuri wake ni kuwa ni hao hao tata wanamiliki rangerover na landrover pia pamoja na jaguar
  3. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Je wajua kwa nini mkoa wa Tanga ni wa 3 kwa kuwana maghorofa mengi nchini?

    Hii ni Magamba, Lushoto. Ujenzi wao wa asili uko hivi na hili ni ghorofa.
  4. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Mei Mosi imeathiri ratiba za baadhi ya zahanati hapa nchini?

    Kliniki sio huduma ya dharula, tuonane ijumaa ijayo
  5. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania UDOM yaongoza juhudi za Kitaifa kuimarisha huduma za Afya kupitia POCUS na Akili unde (AI)

    Utabibu unaundwa kwa Clinical skills, skills hizi haziwezi kuja chukuliwa na AI, tutakuja juta kwa haya yote tunayo invest sasa
  6. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania UDOM yaongoza juhudi za Kitaifa kuimarisha huduma za Afya kupitia POCUS na Akili unde (AI)

    Akili unde (AI) haitakuwa kuweza kum replace Sonographer kwenye Ultrasound scan, sio Ultrasonic scan tu ni kwa kila sekta ndani ya sekta ya afya, acheni kupoteza muda ns pesa
  7. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Je, Pikipiki za Umeme (EV) ndio Mkombozi wa Kudumu dhidi ya Kupanda kwa Bei ya Mafuta Tanzania?

    Ni aina gani ya battery inatumia, lead acid au lithium ion battery? Range?
  8. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Professor Palamagamba Kabudi aongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa 26 wa mawaziri wa mambo ya nje wa Jumuiya ya Madola

    Prof kabudi wazara ya mambo ya nje ndio humfaa zaidi
  9. Mr DIY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Unatafuta salafi humu?
  10. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Korea mbali sana kes 1 ni sawa na yen 1.15 ya kijapan, sasa utasema. Uchumi wa kenya uko sawa na japani? Kenya gpd 124.5 billion USD (2024) na japan gpd 5.054 trillion USD (2020) So exchange rate ya pesa duniani haimaanishi nchi ndio ina uchumi mkubwa Nina mfano mwingine Shilingi moja ya...
  11. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Naona hunielewi, thamani ya pesa iko kwenye purchasing power sio amount, hizo exchange rates zipo tu
  12. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Ngoja nikupe comparison nyingine, milioni moja ya kenya ni sawa na million 1 na laki moja ya japan, je hao watu uchumi uko sawa?
  13. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Kati ya Tanga,kibaha, mbeya, morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?

    Nyie hamjui tu uzuri hiyo miji yote nimeishi, Tanga ndio mji unamfaa mtu anae anza maisha, maisha cheap sana tanga jamani, kuanzia makazi, ujenzi, chakula na mambo mengine mfano Bidhaa nyingi zinaingia toka zenji, ziko cheap, chakula karib kila kitu kinalimwa tanga usambaani huko, viwanja, aisee...
  14. Mr DIY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://vm.tiktok.com/ZMSK3QotL/ Aibu naona mimi
  15. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Donald Trump ashangazwa na Kiingereza kizuri cha Rais wa Liberia Joseph Boakai

    Liberia haikutawaliwa na marekani haijawahi tawala nchi yoyote ila liberia ni nchi iliyoundwa na wamarekani weusi walio kuwa utumwani america na kuamua kurudi nyumbani africa
Back
Top Bottom