Kama upo mbeya mjini , kama unaenda mbalizi, mwisho wa jeshi la itende kama unatokea mwanjelwa kituo kinaitwa nzovwe, shuka hapo vuka upande wa pili uliza kanisa la pentecoste linaitwa PEFA ukifika hapo ulizia mzee Mmoja anaitwa mzee MBOYA ni mfugaji wa miaka mingi sana eneo Hilo na ni...
Daah! Pole sana mkuu, biashara noma sana maana hata Mimi ni muhanga wa Hali hio kipindi Cha 2018-2022 piga sana pesa ndani ya dar, mambo yakageuka kwa speed ya ajabu madeni makubwa sana
Sasa bwana kipindi napiga pesa nilikua na asset zangu mbili Moja kibamba ingine kibaha nikapiga chini ya...
Maisha ya dar hapa unapambana Ili uishi dar[emoji2] malengo kufikia ni shughuli mno otherwise ujitambue sana, maana vijana wanishi expensive life kipato kidogo ili kuwaamisha wa mkoani kuwa hawateseki ila kiukweli dar watu wanastrugle sana na wanateseka [emoji1787] ubishi tuu... NAKAZIA...
Bei sio kubwa mkuu, labda tuseme Hali za uchumi sio nzuri kwa waliowahi kujenga wanaelewa na ndio maana nimesema maongezi yapo (nimekuelewa master usije Dhani nimekukejeli,Wala kukubeza upo sawa ni maoni pia ya kibiashara.
Habari nauza PAGALE nyumba ambayo haijamaliziwa imeishia kwenye kufunga rinta ya juu Bado kozi za juu yu kwaajili ya kuezeka
Location:kibaha loliondo, karibu na pangani hospital.
- vyumba vinne vya kulala ( kimoja master
-dinning
-jiko
-store
-choo,bafu ndani
-sebule
-veranda mbili
Uwanja...
Hii kitu iliwahi Nikuta historia hazipishani Sana,,, wote wana umuhimu sana ila aliekuzaa is the best
Kuna ishu ilinikutaga halafu nikajikuta namuhitaji sana baba mzazi kuliko wa kambo japokua nimelelewa na baba wa kambo na baba mzazi nilimuweka kando kutokana na historia alionipa mother
Oyaaa...
Nilichoma 78 million na madeni juu zaidi ya millioni 30 dadeq mpaka Leo najikongoja biashara sio pow inabidi uwe na moyo wa ziada laa sivyo unaweza kujinyonga[emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.