Recent content by Mr.Black

  1. Mr.Black

    Hadithi: Kesi ya Mzee Mnyoka

    Story nzuri
  2. Mr.Black

    Plot4Sale Shamba kufuga ng'ombe ekal 1500 inauzwa Iringa

    Kama upo serious Mzee karibu other details nimesema Kuna maji na vyanzo vya maji vipo Kuna umeme Na jamaa alibuni Kwa ajili ya ranch
  3. Mr.Black

    Plot4Sale Shamba kufuga ng'ombe ekal 1500 inauzwa Iringa

    Mzee hakuna Cha utapel kila kitu kimoja na kinaenda uhakika upo mtu anaenda serikali kuhakikisha
  4. Mr.Black

    Plot4Sale Shamba kufuga ng'ombe ekal 1500 inauzwa Iringa

    Hii ni biashara Mkuu thamani iliyopo ni Kwa kuwa Hilo sio pori hiyo Ina miundombinu na Ndiyo maana imefikia hapo . Na documents Halali Zipo ukitaka kulima sawa au unataka kuishi pia sawa inauzwa Kwa masharti hayo niliyosema
  5. Mr.Black

    Plot4Sale Shamba kufuga ng'ombe ekal 1500 inauzwa Iringa

    [emoji230] Nauza Shamba Ekari 1500 [emoji424] Lilikuwa linatumika Kwa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa(linafaa pia kuweka ranch ya mifugo) [emoji2515] LINA NYUMBA ZA MAKAZI yenye vyumba 4 vya kulala [emoji117][emoji609] Ukinunua Unapata trekta na miundombinu mingine [emoji117][emoji230]...
  6. Mr.Black

    Wanafunzi wa Social Protection wamlilia Rais Samia kutatua kero yao ya Tume ya Ajira

    Tunaomba Msaada Rais Samia Utusadie wahitimu wa Social Protection kupata fursa za Ajira serikalin Kwanza nianze Kwa kupongeza utendaji kazi wako Mh Rais umekuwa mwanga na Tumaini la wengi ikiwemo sisi wanafunzi wa vyuo vikuu umekuwa na jitihada za kutoa Fursa za Ajira Kwa vijana ila kwa wasomi...
  7. Mr.Black

    Rais Samia jitahidi ukiwa na 'Jazba' Kauli hii usiwe unaisema

    Raisi samia hataki ujinga kabisa
  8. Mr.Black

    Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

    Kama ni kweli hii kauli alikosea Sana kusema hivyo
  9. Mr.Black

    Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

    fursa za uchumi hizo wahi kiwanja bagamoyo
Back
Top Bottom