Mr.Black
Member
- Jun 9, 2014
- 95
- 73
DuhImeniuma Sana ni mangi, Goodluck Minja.
Race traitor!
DuhImeniuma Sana ni mangi, Goodluck Minja.
Race traitor!
Imeniuma Sana ni mangi, Goodluck Minja.
Race traitor!
Basi jamaa ni zaidi ya komandooLazima watu wakikutana na Afande Good luck huwa wanajinyea.
Arusha?Anamiliki grocery jirani na ofisi za marangu coach
Mkuu Arusha?Huyo tutamjua in and out
EehhIpo Tweeter
Apotezwe tu.Anatekeleza majukumu yake, huna sababu ya kumjua. Halafu ukishamjua unataka kumfanya nini
Eti kwa maagizo ya magufuli, unavyoandika it's as if una vithibitisho kama vyote.Huyu Good luck ni mmoja wa askari waliokuwa kwenye lile kundi la Magufuli la watu wasiojulikana. Huyu na wenzake ndio waliokuwa wanateka watu, kuwaua na kuwafunga mawe na kuwatupa baharini. Wamepanga na kuendesha operation za kikatili sana kwa wale wote waliokuwa wanaipinga na kuikosoa serikali ya Magufuli. Kwa sasa yeye na wenzake wanaweza kuendelea kuwa salama kwani waIitekeleza unyama ule kwa maagizo ya Magufuli. Ila iko siku kundi hilo na uchafu wao utakaa wazi na watakutana na mkono wa sheria. Huyu Goodkuck atakuwa anajua vizuri sana nani walimshambulia Tundu Lisu, waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda nk. Na kama wamezikwa anajua ni wapi.
Sio huyu.wanafanana tu majina.
Huyo bwana namfahamu.watu wamechanganya tu majina kwasababu ya mihemko au kwasababu yakutumia mitandao.Kuna ujinga siku hizi,mtu akipata jina la mtu anaenda tu kwenye mitandao nakutype jina picha itakayojitokeza ndo hiyo hiyo bila kuresoning.Mbona hafanani na ukatili anaofanya? Amekaa kama mchungaji.
Huyu ni mtu hatari sana aisee.nenda ostabey polisi ndio sehemu ya kutoa vivuli vyote
Huo ndio ukweli. Hayo ni maagizo kutoka jumba jeupe.Eti kwa maagizo ya magufuli, unavyoandika it's as if una vithibitisho kama vyote.
Jumba jeupe lina watu wengiHuo ndio ukweli. Hayo ni maagizo kutoka jumba jeupe.
Majukumu ya kuua?Anatekeleza majukumu yake, huna sababu ya kumjua. Halafu ukishamjua unataka kumfanya nini
Wapi Arusha,?Dsm au Moshi?Anamiliki grocery jirani na ofisi za marangu coach