Usilete siasa hapa soko la dunia limeanguka kwa upande wa mafuta yameshuka bei na taarifa zishatangazwa kinachoshindikana kupunguza bei ni nini hasa kama sio upigaji
Mbona kenya wamepunguza bei
Huku rwanda ndo usiongee
Me pia sioni kitu wanchofanya hawa jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.