1. JPM ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2. Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu watu
3. Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora Muhimbili
4. Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahihi
5. Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawaziri hali itakuwaje!!!
Ila ujue muhimbili is a national hospital final referral country wideMkuu uko sahihi kabisa ila, kumbukua huo ni mwanzo tu kwani wagojwa tanzania hii hawako mhimbili tu.,, hospitali nyingi za wilaya wagonjwa wanalala chini na kukosa dawa. Hivyo tumuombee hii kazi iliyoinza iwe ni kama gia namba moja, hivyo aongeze gia zaidi ili tufike pale watanzania wanapopataka.
Ni kweli aina aja ya kuwa na mawazir mizigo coz hta bajeti uwa wanatengenezewa na mawazir
Anapingwa na mafisadi walioko ukawa
Tuiweke kwa namna hii. Rais wa kwanza kupingwa na chama chake kilichompigia kampeni na kukubaliwa na chama cha upinzani kilichosimama kumpinga kwenye upigaji kura.
Selema selema ... alija ..!
Aina = haina
Aja = haja
Uwa = huwa
Kile kichwa cha January hakijui uchumi ni hasara kwa taifa mtu kama January kupewa wizara ya fedha.