Shilingi hamsini inatoka kupitia choo kikubwa. Haikwami, hiyo ulishaitoa.
Haiyeyuki kama wadau wanavyosema hapo juu, inatoka kwenye choo kikubwa kama ilivyo
Kwanini hamfanyi maboresho yoyote kwa Dar es salaam commuter train?
Abiria ni wengi sana, lakini nyinyi mnapunguza behewa kilakukicha na hamfuati ratiba.
Suburban rail ya Ubungo ni kama imeshakufa, kutoka behewa 10 mwaka 2012 ilipoanzishwa mmebakiza behewa tatu huu mwaka 2025.
Suburban rail ya...
Kila mmoja ana moyo wake, uti wa mgongo wa peke yake, mapafu ya peke yake, na pia kila mmoja ana tumbo lake na hula kwa wakati wake.
Mguu mmoja ni wa Abigail, na mguu mwingine ni wa Brittany. Na mikono pia, mkono mmoja ni Abigail na mkono mwingine ni wa Brittany
Kwa namna hii huwezi sema ni mtu...
Ukiona maganda ujue amekosea kuunga mboga.
Mafuta yakipashwa joto vizuri na kuwa ya moto huoni maganda, maganda huungua kwenye mafuta na kutoa rangi nyekundu ambayo ndio mchuzi
Hizo bati za chengachenga zilizo na muundo wa vigae ni nzuri kwa huo muonekano tu, ukiezeka mtu akitazama atafikiri umeezekea vigae, lakini hazina ubora.
Siyo tu kwamba yanapauka, bali yanapata kutu mapema sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ni ndoo 50, lakini siyo iliyojaa hadi juu.
Ukipima kwa ndoo ikiwa full haupati 50 kwasababu ndoo au dumu likijaa hadi juu inakuwa ni zaidi ya lita 20. Kupima unit za maji kwa kuhesabu ndoo zilizojaa hadi juu siyo kipimo sahihi. Usijaze ndoo full.
Zile mita zipo sawa.
Sent from my Infinix X657B...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.