Recent content by Mponda 02

  1. Mponda 02

    Msaada: Anayejua mchanganuo wa uniti moja ya maji kwa ndoo pamoja na gharama yake anijuze

    Ni ndoo 50, lakini siyo iliyojaa hadi juu. Ukipima kwa ndoo ikiwa full haupati 50 kwasababu ndoo au dumu likijaa hadi juu inakuwa ni zaidi ya lita 20. Kupima unit za maji kwa kuhesabu ndoo zilizojaa hadi juu siyo kipimo sahihi. Usijaze ndoo full. Zile mita zipo sawa. Sent from my Infinix X657B...
  2. Mponda 02

    Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

    Kuna mafundi wana vifaa vya kutolea pampu iliyonasa au kukatika mpira na kuzama
  3. Mponda 02

    Pollytank ni tanki zuri? Naomba ushauri

    1)Polytank 2)Simtank 3)Kiboko Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  4. Mponda 02

    TCU na wizard ya elimu siwaelewi

    PCM, PCB, HGL
  5. Mponda 02

    Kwanini mtu alipie makato ya kuhamisha fedha wakati muamala umefeli?

    Haitokei kwa bahati mbaya, ule ni wizi.
  6. Mponda 02

    Nimeunga mita mpya ya maji lakini inaonesha nimetumia unit 2

    Inawezekana umekosea kusoma, wewe umesoma lita za ujazo ndio unahisi ni mita za ujazo.
  7. Mponda 02

    TBS chunguzeni ubora wa remote control za ving'amuzi vya Azam TV

    Tafuta remote ya startimes uitumie, inafanya kazi kwenye king'amuzi cha azam pia, na haisumbui.
  8. Mponda 02

    Changamoto ya choo kupata kutu

    Hiyo siyo kutu. Ni mchanganyiko wa uchafu, mold na soap scum.
  9. Mponda 02

    Vodacom Nitawashtaki

    Hata ukisitisha matumizi bila bando, voda wanakata salio. Kwa mfano ukiwa na salio kwenye simu, usipotumia, baada ya kila siku moja utaona imepungua tsh 99 hadi salio linaisha. Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  10. Mponda 02

    Magufuli Bus Terminal haijakidhi viwango vya kuitwa stendi ya Kimataifa

    Ni kweli stand haina mpangilio mzuri wa mabasi. Abiria huwezi kujua sehemu basi lilipo mpaka utafute. Na ile sehemu ya kukatia tiketi sio nzuri ilitakiwa ziwe ofisi/vyumba na ziwe namba, na pia ziwe chini sio juu. Kule juu ni usumbufu kwa wazee na walemavu. Uwepo wa mabanda ya machinga unaondoa...
  11. Mponda 02

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Aisee ni kweli havina ubora, hata ile body yake sio imara likikaa muda mrefu inakuwa kama plastic iliyoharibiwa na jua inapukuchuka na kuvunjika kirahisi. Tanesco ni bora wafanye maboresho tukinunua luku kwa simu umeme uende moja kwa moja kwenye mita, kama tunavyojaza vocha ya simu.
  12. Mponda 02

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco ni wasumbufu sana! Mimi CIU (Customer Interface Unit ) imezima haifanyi kazi. Nikaipeleka ofisini kwao, hawakunisaidia wakataka ninunue mpya kwa laki moja na elfu arobaini. Nikashangaa sana maana kifaa ni chao, kwanini hawafanyi marekebisho ya CIU kwa mteja?
  13. Mponda 02

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ahsante, nimekuelewa. Yangu haikuharibiwa imetokea tu ile screen yake haioneshi maandishi, ingawa inawaka. Nimefika ofisini wanataka ninunue mpya kabisa kwa gharama kubwa. Je haiwezekani kurekebisha? Gharama ya kupata mpya ni kiasi gani?
Back
Top Bottom