Ni ndoo 50, lakini siyo iliyojaa hadi juu.
Ukipima kwa ndoo ikiwa full haupati 50 kwasababu ndoo au dumu likijaa hadi juu inakuwa ni zaidi ya lita 20. Kupima unit za maji kwa kuhesabu ndoo zilizojaa hadi juu siyo kipimo sahihi. Usijaze ndoo full.
Zile mita zipo sawa.
Sent from my Infinix X657B...
Hata ukisitisha matumizi bila bando, voda wanakata salio. Kwa mfano ukiwa na salio kwenye simu, usipotumia, baada ya kila siku moja utaona imepungua tsh 99 hadi salio linaisha.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Ni kweli stand haina mpangilio mzuri wa mabasi. Abiria huwezi kujua sehemu basi lilipo mpaka utafute.
Na ile sehemu ya kukatia tiketi sio nzuri ilitakiwa ziwe ofisi/vyumba na ziwe namba, na pia ziwe chini sio juu. Kule juu ni usumbufu kwa wazee na walemavu.
Uwepo wa mabanda ya machinga unaondoa...
Aisee ni kweli havina ubora, hata ile body yake sio imara likikaa muda mrefu inakuwa kama plastic iliyoharibiwa na jua inapukuchuka na kuvunjika kirahisi.
Tanesco ni bora wafanye maboresho tukinunua luku kwa simu umeme uende moja kwa moja kwenye mita, kama tunavyojaza vocha ya simu.
Tanesco ni wasumbufu sana! Mimi CIU (Customer Interface Unit ) imezima haifanyi kazi. Nikaipeleka ofisini kwao, hawakunisaidia wakataka ninunue mpya kwa laki moja na elfu arobaini. Nikashangaa sana maana kifaa ni chao, kwanini hawafanyi marekebisho ya CIU kwa mteja?
Ahsante, nimekuelewa. Yangu haikuharibiwa imetokea tu ile screen yake haioneshi maandishi, ingawa inawaka.
Nimefika ofisini wanataka ninunue mpya kabisa kwa gharama kubwa.
Je haiwezekani kurekebisha?
Gharama ya kupata mpya ni kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.