Recent content by mpitimbimoja

  1. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    ENZO amekuwa wa kawaida sana tena khaaa!!!kubalini hamna timu mmejaza matakataka
  2. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Vipi ENZO hakucheza??[emoji1787][emoji1787]Murdyk hakucheza??[emoji1787][emoji1787]Mpira wa kuuongolea JF sijui press,sijui speed unauweza sana,lakini uwanjani mataputapu tu[emoji1787][emoji1787]
  3. M

    Rais Samia ateua Wakurugenzi wapya EWURA, TTB, TIC na Wenyeviti wa Taasisi mbalimbali

    RJK na JM ni Kampuni za nani??huyo aliyechukua nafasi ya U-DG EWURA ndie Mme wa Madam Spika Tulia,ni kunyonya Asali tu[emoji1787]
  4. M

    Rais Samia ateua Wakurugenzi wapya EWURA, TTB, TIC na Wenyeviti wa Taasisi mbalimbali

    Kosa ni nini hapo Mkuu,fafanua maana huyo aliyekuwa DG EWURA Eng.Modestus Lumato ni mshkaji wangu sana
  5. M

    Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

    Anataka kukutia nyege akakukule tunda kimasihara[emoji38]
  6. M

    Kwanini hizi Jogging Clubs zinafanyiwa sana 'Promo' Maredioni? Je, kuna yaliyojificha nyuma ya ufanyaji Mazoezi?

    Niliwahi kuwa Mwanachama wa Jogging Club moja ilikuwa inaitwa Bamboo Jogging Club pale Kinondoni Makaburini kwenye Bar ya Marehemu John Fedha,yaani ilikuwa ni kukulana member kwa member kwa kwenda mbele[emoji1787]
  7. M

    DOKEZO Nimetapeliwa Pesa na Kampuni ya Sola ya MYSOL

    Hii Kampuni ya MYSOL naifahamu sana niliwahi kuwa Afisa Mikopo wao,ni MATAPELI NA MAJIZI SANA,mwaka juzi 2021 walimfukuza kazi jamaa mmoja anaitwa Raphael kihuni sana.Mkurugenzi Mkuu wao Godfrey Mugambi akishirikiana na Head wa HR Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama walimfukuza kazi huyo Rafael...
  8. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Unavyojua kupuyanga mdomoni sasa khaaa,Timu ipo nafasi ya 10[emoji1787][emoji1787]
  9. M

    Naomba msaada wa kisheria kwenye jambo hili

    Ukisema Mtuhumiwa alikuwa Mfanyakazi wako yeye atakukana na kukwambia uonyeshe Mkataba wa Ajira Mahakamani,je unao??
  10. M

    Msaada kesi ya kujeruhi kwa ngumi baada ya jamaa kutaka kunitapeli

    Hiyo ngumi ya hadi kumvunja taya mwenzio, duh! Punguza hasira. Maisha ni magumu, wengi siku hizi tunatembea na magonjwa yetu. Hiyo ngumi yako inaweza kusababisha kifo kizembe. Kisha jalada likawa ni murder case! Nakukumbusha tu kwamba mpaka mahakama kuja kuufahamu huo mlolongo ulipoanzia, tayari...
  11. M

    Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

    Usingeitupa,ungempelekea Jenerali Sabaya pale Jela Kisongo,angekushukuru sana
  12. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    yaani 1200 unatupia Mkeka JF,hayo ni matumizi mabaya ya bando
  13. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi unapoibetia Timu yenye odd 1.02 unakuwa unataka upate tsh ngapi mfano hata ukiweka Tsh.Milioni Moja??au ni kujaza Mkeka tu Timu nyingi kumbe odd 1.02[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom