Msaada kesi ya kujeruhi kwa ngumi baada ya jamaa kutaka kunitapeli

Kante kunta

New Member
Jul 25, 2022
3
2
Msaada wa mawazo wadau wa sheria kuna jamaa walitaka kunizulumu kupitia simu ambapo huyo jamaa alimpa simu rafiki yake aniletee dukani kwangu jamaa alikuja kama anahitaji msaada wa bondi anaacha simu kisha atakuja kulipa na kuchukua simu yake

Baada ya wiki yule jamaa akaja na kudai kwamba amekosa hela ya kunipa so nimuuongeze kiasi cha pesa ili nibaki na ile simu nikafanya hivyo nikamuongeza pesa mi nikabaki na ille simu kisha mimi nikaiuza illi kurudisha hela ya ofisi

Baada ya wiki anakuja jamaa mwingine akiwa na askari anadai nina simu yake yeye ameibiwa simu nikamwambia mimi sijaiba simu ililetwa na mtu fulani na anaishi eneo fulani na nimeshaiuza labda niwapeleke kwa huyo alieleta simu wakakataa kuhusu huyo aliniletea simu,

Hapo nikashtuka nikahisi naibiwa kwanini hawataki niwapeleke kwa alienipa simu basi nikapatwa na jazba nikahisi wana mpango wa kuniibia, bahati mbaya tukapisha kauli nikampiga ngumi moja yule jamaa aliekuja na askari akidai ni simu yake akadondoka chini na kuumia.

Nikapelekwa polisi kwa kosa la kujeruhi na si kosa la simu kama ilivyokua awali na jamaa anataka kunipeleka mahakamani kunifunga la sivyo familia yangu itoe milioni hamsini na ukweli ni kwamba yule jamaa alieumia wala hakuibiwa simu bali alimpa rafiki yake na ndie alieleta simu kwangu so jarada la kesi ni kuhusu kujeruhi yaani nilimpiga ngumi moja bahati mbaya alivunjika taya

Naomba ushauri Naanzaje Kupangua illi swali uko mahakamani ya kwamba ( upo hapa kwa kosa la kujeruhi ni kweli ama si kweli) maana nasikia nikisema ni kweli tu nitafungwa na sitopata nafasi ya kuieleza mahakama juu ya uovu waliotaka kunifanyia maana ni kweli nilimpiga illla wao ndio waliotaka kuniibia mimi Msaada jamani kwa walionielewa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Mzee hiyo ngumi siyo mchezo mpaka kumvunja mtu taya, kwa kifupi uliingia mkenge kupokea simu bila maandishi wala ushahidi , mbaya zaidi umemvunja mtu taya, pamoja na kumuhisi alikuwa tapeli yeye na mwenzake bado ulipaswa kutumia akili kubwa kuhakikisha unaushinda huu mtihani kwa akili . Ona sasa Jazba zako zinaenda kukugharimu. Anyway subiria wataalam wa sheria
 
Kuna makosa uliyoyafanya kabla ya Hilo tukio. Kwanza ulitakiwa ukatae kuwa na simu ya wizi kwasababu hukuwa nayo. Hapo polisi wangekuwa hawana ushahidi au kidhibiti Cha Moja Kwa Moja.

Kuhusu kesi unatakiwa kukana shitaka no matter what. Ukikana shitaka unafungua nafasi ya kusikilizwa Kwa shauri na huko utaieleza mahakama kilichojili.mfano

Ilikua ni tarehe...., mwezi..., mwaka..., saa .... Nikiwa dukani kwangu alikuja mtu akiwa na shida ya kuazima hela (usiseme kukopa) Kwa kuacha simu na kuirudisha hela bila riba. Baada ya Muda(siku kadhaa) alirudi na kudai aniuzie Kwa kumuongeza hela kidogo. Sikukubali kununua Bali nilimwambia kuwa labda tutafute mtu auze Kisha nichukue hela yangu nae achukue inayozidi. Kweli tulitafuta mteja na baada ya kuiuza akachukua hela yake nami nikachukua hela yangu(usiseme uliuza wewe kwasababu hukuwa na idhini ya kuuza Mali ya mtu na hukuwa na uthibitisho kuwa ni Mali yamhusika. Hapa mtafute mnunuaji na umpange kuwa mlienda wote na aliekuuzia simu na mkamuuzia yeye na pia aliekuuzia atakua shahidi upande wako Kama mnaelewana) ila useme ulitafuta mteja Ili hela Yako isipotee.

Baada ya Muda( tarehe) mlalamikaji akafika kwako akiwa na polisi akikutuhumu Kwa wizi wa simu. Baada ya polisi kueleza sababu ya wao kuwa kwako hapo ulikana tuhuma na ukajaribu kuwaeleza kilichojiri(maelezo ya juu hapo) lakini mlalamikaji akiwa upande mmoja na polisi akaingilia kati na kuchukua nafasi ya polisi kuongea na kutukana matusi( mfano mbwa tuvwewe, mwizi mkubwa kwanza kiduka chenyewe Mali za wizi na ujambazi). Wakati wa majibizano makali Mlalamikaji alipoona amekosa hoja akakufuata ulipokuwa umesimama Kwa lengo kukudhuru, kwani ni kitendo Cha haraka tu alikukwida shati na wakati unapangua mikono yake Kwa nguvu Ili akuachie bahati mbaya mkono ukampiga kwenye taya na polisi wakaamua ugomvi ( hapa namaanisha kuwa yeye alikua na polisi kwahiyo kama wewe ungemfuata kumpiga polisi wangekuzuia kwasababu walikua na mlalamikaji).

Mengine unatengeneze mwenyewe kwasababu unaonekana una hela kwahiyo usikubali faini za kipuuzi ivo( milioni 50). Kesi za kushambulia bila kukusudia au kwakukusudia hazina faini ndefu kiasi hicho labda Kama alienda kutibiwa India. Vile vile ieleze mahakama kuwa wewe ulikua katika kujilinda na sio kushambulia kwani ulikua ukiumia Sana.

Kuhusu maelezo ya awali uliyoyaandika polisi kuhusiana na sakata la simu, uyakane na useme ulisema vile awali kutokana na kughafilika na vitisho toka Kwa mlalamikaji na polisi. Kwahiyo maelezo ya mahakamani ndio usimame nayo.


NB. mahakamani ukweli au uongo hutengenezwa Kwa uwepo wa ushahidi imara na vielelezo vyenye ushawishi. Kwenye vielelezo hapo Sasa.

Mtafute muuzaji wa simu yeyote awaandikie risiti ya kuuza simu tarehe mwezi mnaohisi wa kununuliwa hiyo simu. Kisha Ile risiti muipitishe kwenye moto wa jikoni au mshumaa Ili kufanya wino uonekane wa muda kidogo. Jina la mnunuzi wa simu awe aliekuja kuazima hela.

Yaani kesi tamu Sana hii kikubwa tuliza kichwa.
 
Msaada wa mawazo wadau wa sheria kuna jamaa walitaka kunizulumu kupitia simu ambapo huyo jamaa alimpa simu rafiki yake aniletee dukani kwangu jamaa alikuja kama anahitaji msaada wa bondi anaacha simu kisha atakuja kulipa na kuchukua simu yake

Baada ya wiki yule jamaa akaja na kudai kwamba amekosa hela ya kunipa so nimuuongeze kiasi cha pesa ili nibaki na ile simu nikafanya hivyo nikamuongeza pesa mi nikabaki na ille simu kisha mimi nikaiuza illi kurudisha hela ya ofisi

Baada ya wiki anakuja jamaa mwingine akiwa na askari anadai nina simu yake yeye ameibiwa simu nikamwambia mimi sijaiba simu ililetwa na mtu fulani na anaishi eneo fulani na nimeshaiuza labda niwapeleke kwa huyo alieleta simu wakakataa kuhusu huyo aliniletea simu,

Hapo nikashtuka nikahisi naibiwa kwanini hawataki niwapeleke kwa alienipa simu basi nikapatwa na jazba nikahisi wana mpango wa kuniibia, bahati mbaya tukapisha kauli nikampiga ngumi moja yule jamaa aliekuja na askari akidai ni simu yake akadondoka chini na kuumia.

Nikapelekwa polisi kwa kosa la kujeruhi na si kosa la simu kama ilivyokua awali na jamaa anataka kunipeleka mahakamani kunifunga la sivyo familia yangu itoe milioni hamsini na ukweli ni kwamba yule jamaa alieumia wala hakuibiwa simu bali alimpa rafiki yake na ndie alieleta simu kwangu so jarada la kesi ni kuhusu kujeruhi yaani nilimpiga ngumi moja bahati mbaya alivunjika taya

Naomba ushauri Naanzaje Kupangua illi swali uko mahakamani ya kwamba ( upo hapa kwa kosa la kujeruhi ni kweli ama si kweli) maana nasikia nikisema ni kweli tu nitafungwa na sitopata nafasi ya kuieleza mahakama juu ya uovu waliotaka kunifanyia maana ni kweli nilimpiga illla wao ndio waliotaka kuniibia mimi Msaada jamani kwa walionielewa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Karibu sana
 
Kuna makosa uliyoyafanya kabla ya Hilo tukio. Kwanza ulitakiwa ukatae kuwa na simu ya wizi kwasababu hukuwa nayo. Hapo polisi wangekuwa hawana ushahidi au kidhibiti Cha Moja Kwa Moja.

Kuhusu kesi unatakiwa kukana shitaka no matter what. Ukikana shitaka unafungua nafasi ya kusikilizwa Kwa shauri na huko utaieleza mahakama kilichojili.mfano

Ilikua ni tarehe...., mwezi..., mwaka..., saa .... Nikiwa dukani kwangu alikuja mtu akiwa na shida ya kuazima hela (usiseme kukopa) Kwa kuacha simu na kuirudisha hela bila riba. Baada ya Muda(siku kadhaa) alirudi na kudai aniuzie Kwa kumuongeza hela kidogo. Sikukubali kununua Bali nilimwambia kuwa labda tutafute mtu auze Kisha nichukue hela yangu nae achukue inayozidi. Kweli tulitafuta mteja na baada ya kuiuza akachukua hela yake nami nikachukua hela yangu(usiseme uliuza wewe kwasababu hukuwa na idhini ya kuuza Mali ya mtu na hukuwa na uthibitisho kuwa ni Mali yamhusika. Hapa mtafute mnunuaji na umpange kuwa mlienda wote na aliekuuzia simu na mkamuuzia yeye na pia aliekuuzia atakua shahidi upande wako Kama mnaelewana) ila useme ulitafuta mteja Ili hela Yako isipotee.

Baada ya Muda( tarehe) mlalamikaji akafika kwako akiwa na polisi akikutuhumu Kwa wizi wa simu. Baada ya polisi kueleza sababu ya wao kuwa kwako hapo ulikana tuhuma na ukajaribu kuwaeleza kilichojiri(maelezo ya juu hapo) lakini mlalamikaji akiwa upande mmoja na polisi akaingilia kati na kuchukua nafasi ya polisi kuongea na kutukana matusi( mfano mbwa tuvwewe, mwizi mkubwa kwanza kiduka chenyewe Mali za wizi na ujambazi). Wakati wa majibizano makali Mlalamikaji alipoona amekosa hoja akakufuata ulipokuwa umesimama Kwa lengo kukudhuru, kwani ni kitendo Cha haraka tu alikukwida shati na wakati unapangua mikono yake Kwa nguvu Ili akuachie bahati mbaya mkono ukampiga kwenye taya na polisi wakaamua ugomvi ( hapa namaanisha kuwa yeye alikua na polisi kwahiyo kama wewe ungemfuata kumpiga polisi wangekuzuia kwasababu walikua na mlalamikaji).

Mengine unatengeneze mwenyewe kwasababu unaonekana una hela kwahiyo usikubali faini za kipuuzi ivo( milioni 50). Kesi za kushambulia bila kukusudia au kwakukusudia hazina faini ndefu kiasi hicho labda Kama alienda kutibiwa India. Vile vile ieleze mahakama kuwa wewe ulikua katika kujilinda na sio kushambulia kwani ulikua ukiumia Sana.

Kuhusu maelezo ya awali uliyoyaandika polisi kuhusiana na sakata la simu, uyakane na useme ulisema vile awali kutokana na kughafilika na vitisho toka Kwa mlalamikaji na polisi. Kwahiyo maelezo ya mahakamani ndio usimame nayo.


NB. mahakamani ukweli au uongo hutengenezwa Kwa uwepo wa ushahidi imara na vielelezo vyenye ushawishi. Kwenye vielelezo hapo Sasa.

Mtafute muuzaji wa simu yeyote awaandikie risiti ya kuuza simu tarehe mwezi mnaohisi wa kununuliwa hiyo simu. Kisha Ile risiti muipitishe kwenye moto wa jikoni au mshumaa Ili kufanya wino uonekane wa muda kidogo. Jina la mnunuzi wa simu awe aliekuja kuazima hela.

Yaani kesi tamu Sana hii kikubwa tuliza kichwa.
asante kaka ntafanyia kazi

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ngumi ya hadi kumvunja taya mwenzio, duh! Punguza hasira. Maisha ni magumu, wengi siku hizi tunatembea na magonjwa yetu. Hiyo ngumi yako inaweza kusababisha kifo kizembe. Kisha jalada likawa ni murder case! Nakukumbusha tu kwamba mpaka mahakama kuja kuufahamu huo mlolongo ulipoanzia, tayari utakuwa umekaa mahabusu jela miaka zaidi ya saba! Punguza hasira ndugu.
 
Back
Top Bottom