- Thread starter
- #21
Nashukurusundar mkuu, ndo naitumia, natumia na sabufa take na tv pia, hii hata kukiwa na mawingu mambo murua
Nashukurusundar mkuu, ndo naitumia, natumia na sabufa take na tv pia, hii hata kukiwa na mawingu mambo murua
Hii mifumo ina gharama kubwa za kuanza. Wafanyabiashara wengi wa hapa wanaangalia tunachoweza kununua kutokana na hali halisi ya uchumi wetu ila, hamna hamna uwe na milioni 7 ili kuwa na mfumo wa solar mzuri kwa matumizi kama hayo, hutalazimika kubadili vitu, sijui viwe vya DC n.kAsante.
Nahitaji Sola yenye uwezo wa kuwasha TV, friji, kuchaji simu za majirani ili kumpunguzia makali bimkubwa. Si unajua mkuu.
Hivi mkuu, wiring ya kwaida kwa ajili ya umeme wa Genereta au TANESCO inaweza kutumika kwa Sola kama mtu ukipata accessories zake?Hii mifumo ina gharama kubwa za kuanza. Wafanyabiashara wengi wa hapa wanaangalia tunachoweza kununua kutokana na hali halisi ya uchumi wetu ila, hamna hamna uwe na milioni 7 ili kuwa na mfumo wa solar mzuri kwa matumizi kama hayo, hutalazimika kubadili vitu, sijui viwe vya DC n.k
Nasema hivyo kwa sababu tulishafanya Wiring tayari kwa umeme wa REA, lakini kwa vile matumaini ya kupelekewa karibu hii ni finyu, tunaopt kwa Sola.Hivi mkuu, wiring ya kwaida kwa ajili ya umeme wa Genereta au TANESCO inaweza kutumika kwa Sola kama mtu ukipata accessories zake?
+255 769 022 033 AGEnergies Mbeya.Sawa, Ila hiyo si kampuni? Kwa nini mawasiliano inbox, Kama Kuna wateja wanahitaji? Biashara matangazo.
Yuko jamaa wa duka la spea za magari anajitangaza hata humu jamvini na watu wamefanikiwa kupata spea kwake.
Wenye makampuni au maduka ya mabati wako open.
Toa namba tuongee naye mkuu.
Nimeku-pmMwalimu To yeye, wewe siyo mwalimu wa Physics? mbona sikuoni huku dada yangu. Hata hunishauri kidogo!?[emoji15]
Yaani unapita kama huoni vile[emoji134][emoji134][emoji134]
Cc To yeyeMwalimu To yeye, wewe siyo mwalimu wa Physics? mbona sikuoni huku dada yangu. Hata hunishauri kidogo!?[emoji15]
Yaani unapita kama huoni vile[emoji134][emoji134][emoji134]
Mi mathematics mkuu
Mathematics na physics ni kitu kimoja.. toa mwongozo kidogo!!Mi mathematics mkuu
Ngoja nisome threadMathematics na physics ni kitu kimoja.. toa mwongozo kidogo!!
Sundar solar....25 years inakaaNawasalimu wanajamvi. Habarini za mapumziko ya Jumamosi.
Niende kwenye mada. Kwa wajuzi na wataalamu wa aina ama kampuni Bora za Sola.
Tunafahamu kuwa kuna sehemu/vijiji ambavyo bado umeme wa REA haujafika. Hivyo nahitaji kwenda kumfungia umeme wa sola mama yangu. Mwenye ufahamu juu hili tafadhali naomba msaada wa maelekezo.
Asante🙏.