Rirete hapa ninalopinga, mpaka watangazaji wanauliza kama kesho kuna ajali waandae kabisa taarifa. Mpaka inafika October, mh. Mungu wa Gwajima labda aingilie kati.
Naanza kuelewa sasa Tanzania sio nchi ya amani hata kidogo, kama mtu anayeliombea Taifa kila siku na serikali ni shahidi anazungushwa hivi, mara njoo kesho, na mambo fulani, ni bora nchi ijue sasa kumbe kuna watu wanamalizwa kila siku kimya kimya na dola. Gwajima ana bahati kweli na katika hili...
Jambo hili limetokea, tumeweza kuwaona wasio na akili wanafyatuka, tumia akili kidogo uliyonayo kujiuliza kwann pengo alikaa kimya baada ya karipio anajua amemurudisha Yesu msalabani.
Kukariri kubaya sana me nilitegemea maneno ya watu kwamba mtu akitoka maeneo ya polisi huwa ana kaa kimya wala hawezi kuongea tena. Gwajima pamoja na yaliyomkuta bado ana ujasiri wote. Nakumbuka alisema kwenye audio yake kwamba atasema kila kitu akitoka huko kama ambavyo hapindishi, kweli...
Sio vibaya kutikisa kiberiti, shida ni pale unapokuta njiti zimejaa kiasi cha kuwasha moto nchi nzima, wale waumini ni wakali na wako makini. Napata shaka kama mambo hayo wanasomea kwenye hayo wanayoita majesh majeshi, nimepita mitaa mingi watu wanamuita msemaji wa wananchi. Hivi kanisa lake ndo...
Aliyeanzisha uzi nina mashaka a akili yako kama ni timamu, kamwombe Mungu kabla ya kuja hapa kuandika mambo yako. Hufai kabisa. Ilo lina faida gani? Jiandikishe ukapige kura ya HAPANA.
Gwajima kweli ni shujaa, mpiganaji, msemakweli bila kuogopa, bora ukamuacha kuliko kumchokoza binafsi nampenda na ni mfano wa kuigwa swala la kutumia maneno ambayo hata muhusika hayamuumi. It's shame kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.