Huo mfano uliyoutoa utabaki kuwa hivyohivyo ni mfano tu,lakini kiuhalisia Jf haipo hivyo kama wengi wanavyofikiri. Wanachokijua wananchi ni kwamba huyo jamaa ana kashfa ya ufisadi na hadi amejiudhuru kutokana na jambo hilo. Sasa sie humu kubishana kuwa huyo jamaa alifisadi kweli ama si kweli...
Mkuu teyari huyo mtu anakashfa hayo maswali unayoyauliza wewe humu kama njia ya kuthibitishiwa ufisadi wake sidhani kama watanzania(wapiga kura) wote wanafuatilia au kuyajua hayo,huyo jamaa kwa wananchi huku wanamtambua ni mtu mwenye kashfa ya ufisadi hivyo Jf haitosaidia kumfanya wananchi...
Mi sioni ulazima wa hadi uwe rais ndiyo uibadiri Tz yako kama kweli unania hiyo,Urais si kitu ambacho mtu yeyote anaweza akawa , kwa sababu tu ana sera nzuri au anapigia kelele ufisadi.
Hivi nyie mnaesema kwamba ccm huwezi kupata kiongozi msafi na kutoa mifano sijui ni kama na kutafuta bikra leba...hivi mnataka kusema kwamba ukawa mnaviongozi ambao ni malaika watupu? Maana hakuna mtu ambaye anayezaliwa akiwa fisadi.
Na ndiyo maana baadhi ya watu wenye kuendelea kuipigia kura...
Magufuli hadi kufikia hatua ya watu kumtaka awe rais ni sifa yake ya uchapaji kazi wake kila mtu anajua suala hilo. Sasa mie naona tungetizama sifa za Dr.Slaa na Mh.Magufuli tuone ni nani mwenye sifa zenye kufaa kuweza kuwa rais.
Maana sie wengine hatuna vyama vya kushabikia na ukiangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.