Mpigakura mbumbumbu
Member
- Jun 3, 2015
- 60
- 10
Duh ndugu yangu nimelielezea sana hilo suala kwenye pages zingine,fuatilia juu uko nawe utajua kuwa upo wapi. Kwa kifupi nikuulize tu Muhongo ndo mwenye escrow kivipi??? Ndo alieanzisha akaunti ya esrow? AU alieratibu issue uya escrow????
Ni ripoti ipi ya uchunguzi imesema ivo??? au labda kwenye wafaidika wa fedha tuambie labda nae alikuwepo???? aliwekewa sh. ngapi kwa account gani??? au kwa kukiuka maadili labda uliona jina lake tume ya maadili??????
Mkuu teyari huyo mtu anakashfa hayo maswali unayoyauliza wewe humu kama njia ya kuthibitishiwa ufisadi wake sidhani kama watanzania(wapiga kura) wote wanafuatilia au kuyajua hayo,huyo jamaa kwa wananchi huku wanamtambua ni mtu mwenye kashfa ya ufisadi hivyo Jf haitosaidia kumfanya wananchi kumuelewa tofauti na sasa wanavyomuelewa. Bora angeachana na mambo ya urais kutokana na hiyo kashfa na hatokuwa wa kwanza kuamua hivyo.