GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Nitakujibu ni Dr. John Pombe Magufuli, pamoja na ushabiki wangu ndani ya Ukawa lakini nimeshindwa kuushawishi moyo wangu uweze kukubali kuwa kuna kiongozi zaidi ya Magufuli anaweza kuliongoza vema Taifa hili
Kwa mara ya kwanza nitapiga kura ya Urais kwenda CCM iwapo huyu ndiye atakayekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
Kwanini Magufuli, ni mtendaji na msimamizi nzuri ambaye hana wa kumfananisha naye kwa ubora wake wakati fulani nikiwa mfanyakazi ktk halmashauri fulani nilishuhudia jinsi fedha za RF zilivyokuwa zinaogopwa.
Kama binadamu Magufuli ana mapungufu yake lakini ubora wa Magufuli na umuhimu wake kwa nchi hii unazidi mapungufu aliyo nayo, Kila la heri Magufuli.
Kwa mara ya kwanza nitapiga kura ya Urais kwenda CCM iwapo huyu ndiye atakayekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
Kwanini Magufuli, ni mtendaji na msimamizi nzuri ambaye hana wa kumfananisha naye kwa ubora wake wakati fulani nikiwa mfanyakazi ktk halmashauri fulani nilishuhudia jinsi fedha za RF zilivyokuwa zinaogopwa.
Kama binadamu Magufuli ana mapungufu yake lakini ubora wa Magufuli na umuhimu wake kwa nchi hii unazidi mapungufu aliyo nayo, Kila la heri Magufuli.