Huyu jamaa amechemka kabisa na yeye analijua hilo hana mbinu za kuongoza serikali anatapatapa tu na wanaomshangilia hawajielewi hata kidogo huyu ni mkurupukaji mmoja tu mropokaji ameshindw hata kuajili manesi watu muhimu anaruka ruka tu na kutisha watu
Sent using Jamii Forums mobile app
hawawezi kubomoa hawana ela ya kujenga reli wanatuletea story nyingi tu kiufupi serikali ya huyu jamaa haitafanikiwa kwani anavinyongo na watu na tambua mtu mwenye kinyongo huwa hafanikiwi hvyo kubomoa hawez ela ya reli anatoa wap
ndg yangu hii serikali utaishauri nn ikiwa wabunge wetu wakisema spika anawatoa nje wafanyabiashara hawapo tena ..na hakuna mwekezaji amekuja toka jamaa aingie madarakan wote hawapo hajapandisha mshahara mkopo vyuoni hakuna sekta binafs hasa mabenki yanaweza sana kukopesha wanafunzi tatzo sera...
hapo wanakuambia eti bajeti ya bodi ni kusomesha wanafunz 27 elfu .tatzo lao hawaangalii sensa ila wanakurupuka na kuua uchumi leo hakuna mpango wa ajira ,elimu ya juu,nk tupo watu milion hamsin wanatutreat kama tupo milion tano ccm imetushindwa ikubali kukaa pembeni
Mwanaume haoi mke mmoja angalia ibrahimu nabii angali akina daudi sulayman wamasai wasukuma mzee mwinyi na mifano mingi tu utakuta mwanaume ana wake zaid ya mmoja kama ana mke mmoja bas ana watoto wengine aliozaa na mke mwingine ..angalia hata kwa mtume muhammad ..hvyo mwanaume hawez kua na mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.