HESLB! mtauwa watu

HESLB! mtauwa watu

Kwa sasa ombeni kilanja mkuu aongezee mshahara tu ila kurudi nyuma sahau na wanajisifia makusanyo ya madeni ya elimu ya juu yameongezeka.

Nilipokosa mkopo nililia sana ila nilimaliza kwa kushindia 500 au 1000 kwa siku na sasa nagonga bati na mzazi wangu alieumia kipindi hichooo
 
Serikalini imekosa huruma kwa watu wake! Mtu ana basic salary ya laki 5 kisha anakatwa 15% ya mshahara hapo bado makato mengine! Katika awamu hii watumishi watakuwa na hali ngumu sana!
 
Poleni, kiukwel hawapo fair kabsa...Makato ni makubwa, hivi kwann walipandisha hivyo? Kwan mtu akilipa kidogo kidogo deni halitaisha?
 
Serikalini imekosa huruma kwa watu wake! Mtu ana basic salary ya laki 5 kisha anakatwa 15% ya mshahara hapo bado makato mengine! Katika awamu hii watumishi watakuwa na hali ngumu sana!
Naona mkuu unaongea kwa hisia Kali sana.....
 
Wakuu Eid Mubaraka. Hakika mwezi huu umekuwa mgumu kwa sisi wafanyakazi, bodi ya mikopo inafyeka mpaka mtu unakosa ufanye nini. Tunaomba mheshimiwa raisi uturudishie ile asilimia angalau tuweze kumudu maisha, kiasi tunachokatwa ni kikubwa mno. Tutaishije?
Raisi yupi unayemuomba?
Kama ni huyu mt. Yohana sahau.
 
Back
Top Bottom