Recent content by mpambichile

  1. mpambichile

    Wapi itapatikana macbook air zile ndogo nyeupe at 350,000/=

    Macbook ndogo ni Mia Saba Kaka
  2. mpambichile

    Msuva hana muda mrefu atarejea Nyumbani

    Mbona Watanzania tuna roho za chuki kiasi hiki,ebu tumuache msuva akajaribu bahati yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mpambichile

    Kijana wa kiume usioe mwanamke ambaye alishakuwa na mahusiano na mume wa mtu ujanani

    Sasa Mkuu utafahamu vipi hiyo background ya huyo binti
  4. mpambichile

    Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

    Mkuu unaharaka gani "Simba wamegonea zawadi" Mara uwabja hahaha Ndala Fc buana
  5. mpambichile

    Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

    Hata ukija kwenye issue za kuchakachua matokeo huyo Mzee ni nuksi,yaani jamaa siasa anaziweza tena siasa za fitna
  6. mpambichile

    Dar: Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) ya Uvinza mkoani Kigoma, Auawa Kinyerezi

    Hapa tulipofikia ni hatari kama Watanzania tunafurahia vifo
  7. mpambichile

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Chizi wewe [emoji1] [emoji1] [emoji1] hahaha
  8. mpambichile

    Wabunge wa upinzani wanapenda sana umaarufu kuliko kuwatumikia waliowachagua

    Mkuu mabadiliko yanaanza na wewe hivi ni mbuge gani Kati ya CCM na UKAWA wanaotafuta umaarufu?Nadhani na wewe akili zako ni za Bashite hoja za UKAWA na CCM zipi zina mashiko?
  9. mpambichile

    Ili nchi indelee kiuchumi, vyama vya upinzani vifutwe

    Huwa sipendi kucrash hoja ya mtu,ila naomba nikucrash kwa 100% naomba unijibu maswali yangu yafuatayo then tuendelee; 1.Kipindi Cha utawala wa hayati Mwl Nyerere watanzania tulikuwa wangapi? 2.Kwanini Mwl Nyerere alimua mwenyewe 1992 kukubali mfumo wa vyama vingi?
  10. mpambichile

    Awamu ya viwanda - Tanzania yaanza kuunda ndege zisizo na rubani

    Hahaha comred umenikumbusha ile chopa yao iliyotengenezwa enzi zile za mbio za mwenge,halafu wakaipa promo za kutosha kumbe kimeo
  11. mpambichile

    Please Lowassa, watu wa Bukoba wanasubiri chakula ulichoahidi wakati wa ukame na sasa ni mafuriko

    [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] kama wanapiga mtonyo wa rambirambi hiyo 50M ya kila mtaa itapatikana kweli?Comred Babati
  12. mpambichile

    Dr. Mashinji (Katibu Mkuu wa CHADEMA) yupo kama hayupo

    Kuna watu wana uwezo sana ndani ya CHADEMA na machachari sana na wenye mvuto ambao nafasi ya katibu Mkuu wangeimudu ila udhalimu,ubabe wa maamuzi na sababu zake binafsi Mwenyekiti (Freeman)aliamua kutishika na usomi wa Mashinji sababu yeye ni Bashite,na akasahau vijana kama Ole...
Back
Top Bottom