Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 899
- 1,887
"MAMBO-NOW" Kazini.......
Hawa jamaa mi wala sina imani nao kwa sasa.....
Hawa jamaa mi wala sina imani nao kwa sasa.....
Sasa Mtu anaetumikia Kifungo cha Miaka 30 inakuaje anakamatwa kwa Ujambazi Tena au alikuwa Likizo ya kufungwa?
All in all Hongera sana Kamanda Mambo sasa na Team yako kwa kazi nzuri
Tena hiyo Dsm tu!Faini siku milioni zaidi ya mia 4? basi TRA ivunjwe haraka sana.
Watu lazima watapaki magari yao.Tena hiyo Dsm tu!
Mikoa mingine iige Mfano wa Mkoa wa Mwenye Mkoa wake
Zile swaga za Kova alikuwa anazunguka na Helcopter hewanipolisi mnavyopenda kupiga picha ilikuwaje kwenye matukio yote hayo mliosema hakuna hata kapicha.. au maeneo yote hayo yaliofanyikia matukio hayo hapakuwa na raia ?<br /> Dooh salaalee ama kweli <br /> HONGERENI KWA KAZI NZURI.
Sheria haifuatwi kabisaaa!Ni mazoea lakini si sahihi kusema " polisi wamefanikiwa kuua ......" Hii inamaanisha polisi walikuwa na kusudio la kuuwa
Ukweli unajulikana.Waliomtungua Lissu hata dalili hamna
Alikua jela anatumikia kifungo cha nje,Sasa Mtu anaetumikia Kifungo cha Miaka 30 inakuaje anakamatwa kwa Ujambazi Tena au alikuwa Likizo ya kufungwa?
All in all Hongera sana Kamanda Mambo sasa na Team yako kwa kazi nzuri
Yaani risasi zirindime wala asitokee raia aliyesikia?polisi mnavyopenda kupiga picha ilikuwaje kwenye matukio yote hayo mliosema hakuna hata kapicha.. au maeneo yote hayo yaliofanyikia matukio hayo hapakuwa na raia ?
Dooh salaalee ama kweli
HONGERENI KWA KAZI NZURI.
Hahaha hatai kwei kwei mgoshingwaSasa Mtu anaetumikia Kifungo cha Miaka 30 inakuaje anakamatwa kwa Ujambazi Tena au alikuwa Likizo ya kufungwa?
All in all Hongera sana Kamanda Mambo sasa na Team yako kwa kazi nzuri
Wewe ni jambazi ni kati ya wanaotafutwa...!! Ukipatikana lazima upate haki yako!Polisi wakiua ni habari...wamepewa leseni ya kuua!
Na mwingine akakimbia na gari sijui walishuka hao wengine?Kazi ya upelelezi ngumu sana au maelezo yamepungua? Wahalifu walikua kwenye gari, wakasimamishwa wakaanza kurushiana risasi, baadhi wakajeruhiwa na wamefariki wakiwa njiani kupelekwa kwenye matibabu.
Namba za gari hazijajulikana....
Na wewe ukifanya ujambazi ukipatikana cha moto tu!Sheria haifuatwi kabisaaa!
Watu wanafanikiwa kuua! Inakuwa sifa.