Dr. Mashinji (Katibu Mkuu wa CHADEMA) yupo kama hayupo

Katibu mkuu ni kiungo muhimu sana katika ujenzi na ukwa chama kuliko hata Mwenyekiti. Tangu alipoteuliwa hatujaona cheche za katibu mkuu kama alizokuwa nazo Dr. Slaa.

Huyu bwana ni kama ameshindwa kazi maana huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa kujenga chama kwa kuwa yule ni kama ameanza kupwaya kutokana na hali ngumu huku mtaani
kuna waropokaji kwa niaba ya chama ameshindwa kuwadhibiti. inafaa ajiuzulu tu. kwa mfano tundu lissu anaropoka kila siku kama chadema na wanachadema wanamshangilia.
 
Katibu mkuu ni kiungo muhimu sana katika ujenzi na ukwa chama kuliko hata Mwenyekiti. Tangu alipoteuliwa hatujaona cheche za katibu mkuu kama alizokuwa nazo Dr. Slaa

Huyu bwana ni kama ameshindwa kazi maana huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa kujenga chama kwa kuwa yule ni kama ameanza kupwaya kutokana na hali ngumu huku mtaani

Na hasa hilo ndiyo lilikuwa lengo la Mbowe kumchagua huyu wanayemuita katibu mkuu ambaye hatasikika na atakuwa chini kila wakati ili mwenyekiti apate kutanua vizuri.
 
Na hilo ni faida kwa chama cha mapinduzi. Tusherehekee hakuna haja ya kuhofia mikutano yao.
Kuna watu wana uwezo sana ndani ya CHADEMA na machachari sana na wenye mvuto ambao nafasi ya katibu Mkuu wangeimudu ila udhalimu,ubabe wa maamuzi na sababu zake binafsi Mwenyekiti (Freeman)aliamua kutishika na usomi wa Mashinji sababu yeye ni Bashite,na akasahau vijana kama Ole sosopi,Mnyika,Heche,Mwalimu na wengine wengi ambao wana Impact ndani ya jamiii....shame
 
Watakaopinga watoe sababu na hoja.

Dr. Mashinji amepoa sana. Ni kama anafikiria kuunga mkono juhudi.
Yeye ni mtendaji mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchi lakini wala hasikiki. Masuala mengi yenye ukakasi yanatokea nchini lakini yeye kapiga kimya.

Naweza kusema Dr. Mashinji hana msaada wowote CDM na hili linaweza kuwa sio kosa lake bali kosa la waliompa wadhifa huo muhimj kabisa kwa ustawi wa CDM kwa maana kabla ya kupewa wadhifa huo nani alimfaham Mashinji? Alikuwa na mchango gani katika siasa za nchi hii?
Ni ajabu kuona wapo wakina John Heche , wapo wakina John Mnyika wapo wakina mch Msigwa lakin CDM wanaona Mashinji ndio anafaa.

Wema ni akiba.
 
Watakaopinga watoe sababu na hoja.

Dr. Mashinji amepoa sana. Ni kama anafikiria kuunga mkono juhudi.
Yeye ni mtendaji mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchi lakini wala hasikiki. Masuala mengi yenye ukakasi yanatokea nchini lakini yeye kapiga kimya.

Naweza kusema Dr. Mashinji hana msaada wowote CDM na hili linaweza kuwa sio kosa lake bali kosa la waliompa wadhifa huo muhimj kabisa kwa ustawi wa CDM kwa maana kabla ya kupewa wadhifa huo nani alimfaham Mashinji? Alikuwa na mchango gani katika siasa za nchi hii?
Ni ajabu kuona wapo wakina John Heche , wapo wakina John Mnyika wapo wakina mch Msigwa lakin CDM wanaona Mashinji ndio anafaa.

Wema ni akiba.
Nitajie Katibu mkuu wa chama kingine chochote anayesikika!

Unamjua Katibu mkuu wa Simba?........ wa Yanga je?........ Basi nitajie wa TFF!
 
Lowasa ashamaliza kazi CDM na kundi kubwa toka pande hzo limeunga juhudi....sa hv tuna ACT nayo tunaenda igonga nyundo soon..hatutaki ujinga kabisa
 
Naunga mkono hoja. Mashinji amekuwa katibu mkuu mrasimu tu, mangi mezi anayekaa ofisini na makaratasi. Katika siasa za sasa hapa Tanzania lazima chama kisikike kikitoa misimamo na uchambuzi katika kila issue inayofanywa na serikali. Hivi ndivyo alivyofanya Dr. Slaa hadi cdm ikawa maarufu kuelekea 2015. Siasa ni visibility, ona kwa mfano chama cha Zito (ACT) jinsi kwa sasa kinavyopasua anga, Zito yuko hodari kujibu na kusemea kila hoja inayotolewa na serikali na inayogusa wananchi. Si ajabu kwa sasa kwa mtu ambaye hana chama, ni rahisi kujiunga na ACT kuliko chadema ambacho hakina outreach kabisa na hakisikiki kwa sasa.
Tunaelekea uchaguzi 2020 na huu ukimya wa cdm utawacost sana, na watapoteza wanachama wengi kwenda ACT. Wasije wakaanza kulaumu kuwa ACT inawahujumu
 
Hana hata sura ya uana-siasa.. yupo yupo...

Bora wangempa haji manara


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sio kwamba cdm waliona De anafaa bali ni Mbowe na genge lake ndio waliona jamaa akae pale wao waendelee kula kiulainiiii
 
Back
Top Bottom